Kwa utendaji na usimamizi wa wizara aluzopita na anazoendelea kufanyia kazi hana mpinzani. Ni jembe na ni hodari wa karne. Watanzania tuutumie hii nyota ibayong'aa. Tumpe nafasi atutumikie
Yea. Hakuna saccos ya wachaga wala ukumbi wa disco wa kufanyia uzinzi kama ule wa bilicanasNakubaliana na wewe 100/100 kama unazungumzia Uraisi wa TFF, maana uko hakuna mali za umma za kuuza.
Magufuli is very strong and smart for tht post
Huyu Dr akitangaza nia wote tujiandikishe mapema kupiga kura.sisi huku Itigi lamiq mtupuMagufuli ni jembe,CCM wakimteua huyu watapata kazi rahisi sana kwenye uchaguzi wa 2015..
Kwa uwezo wa utendaji kazi,hakuna mwanasiasa yeyote hapa nchini anayemzidi Magufuli kwenye hilo, akiteuliwa huyu kura yangu anayo...
Hatuwezi kuweka rais mgonjwa tena..tumechoka ..magufuli aende akawe rais wa mkewe lakini sio kwa watanzania