fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 11,111
- 19,998
Pamoja na hii ID kujulikana huoni aibu kuitumia?
Hii ID tangia niijue inanichefua sana. Taifa hiili litajengwa na wenye nia ya kweli ya maendeleo ya watanzania na sio nyinyi vijana wenye nia mbaya za ubinafsi ambazo hatuwezi kuzitofautisha na za chama tawala miaka yote hii.