Job Ndugai: Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Wakifanya hivo ndo vizuri ili dunia ijue kwamba maneno ya Tl ni ya ukweli yamewachoma hadi wamemsitishia mshahara.
 
QUOTE="Sixmonth, post: 30335230, member: 483403"]Yani hawa wanashindwa kuangalia vitu vyakutusaidia nakuwa makini kama na mawaziri kama mpina anasema wavuvi warudishiwe malizao bila mashariti yoyote sasa wanaotekeleza wanasema engine nilazima zikombolewe lakini generector mataa ndio vitatoka bure sasa amesema wapewe Mali zao bila mashariti engine sio Mali zao?kusema au kutamka bila mashariti kwa hali hiyo bado waziri kauli yake inamaana kweli sasa badala ya kuangalia haya mambo yaonezi wapo bize na wivu walisu nani anafatilia nakutekeleza kauli zamwaziri ajipime ajione mwenyewe[/QUOTE]
Wanatekeleza maagizo
 
Ajavunja sheria ila njaa zinamsababisha kwenda kulia lia ughaibuni ila usijadanganye kwamba atampiga chini mwenye chama.



Sent using Jamii Forums mobile app

Mwenzio mgonjwa zaidi ya mwaka sasa, Serikali yake na bunge analotumikia hawajampa hela yake ya matibu ambayo ni stahili yake, atakosaje kuwa na njaa??

Subiri na wewe upate janga la kukulaza kwa miezi 6 tu uone mziki wake kama hutapata njaa. Utu ndiyo ubinadamu wa mtu na sio sura ya mtu.
 
Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?

-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?

-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?

Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya

=====================

Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.

#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Hivi ushahidi( mkeka) alishautoa wa malipo ya Lisu? Mbona anataka kuanzisha lingine wakati moja halijaisha?
Ndugai tunakumbuka ulisema utatuletea ushahidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshahara analipwa mtu ambaye yupo kazini au nje ya kazi kwa sababu za msingi na kwa taarifa kwa anayemlipa mshahara.

Ni kweli Lissu inafahamika alipatwa na tukio la kinyama sana la kupigwa risasi ila haipendezi kusikia kuwa chama chake kwa niaba ya mhusika kilishindwa kumpa spika taarifa rasmi pamoja na taarifa za madaktari juu ya maendeleo ya Lissu alipo kwa ajili ya matibabu.

Kingine, kwa sasa Lissu ameonekana kuimarika kwa kiasi kikubwa, jambo ambalo kila mmoja wetu anapaswa kumshukuru Mungu kwa kuendelea kumpa neema ya uhai. Hivyo ikiwa amepewa muda wa kuwa nje ya hospital ilikuwa ni busara kwa Mhe Lissu kurejea nchini kwa ajili ya kuonana na familia yake, jamaa na marafiki zake kubwa zaidi wananchi waliompa ridhaa ya kuwawakilisha bungeni pamoja na wasamaria wema waliomchangia matibabu.

Angefika kusema asante, angefika angalau kwa muda huu mchache aendelee na uwakilishi wa wananchi wenzake pale bungeni mpaka hapo atakapohitajika kurejea hospitalini. Kinyume chake ameamua kufanya ziara za kuishutumu, kuishambulia na kuharibu taswira ya serikali yetu ya Tanzania katika nchi Ulaya na Marekani. Jambo hili halina afya kwake wala kwa chama chake.

Ni hatari kukubali kuichafua nchi yako sababu unalipwa au unataka kupata ushawishi kwa wananchi walio wengi. Huku ni kukosa uzalendo.

Namalizia kwa kushauri, dereva wake bado ni shahidi namba moja ambaye anaweza kulisaidia jeshi la polisi taarifa za msingi juu ya tukio hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app

1. TL ni Mbunge, ameumizwa akiwa kazini, bunge ndiyo linajukumu la kujua matibabu yake, gharama na maendeleo yake na kwa kila kitu SIO chama chake.

2. Kuimarika au kutoimarika kwa TL ni suala la kidaktari na sio kuangalia kwa macho, ni kweli TL akili yake inaonekana kuwa njema kwa sbb hakupata madhara kichwani, ila mwili wake bado kwani huoni anatembea kwa msaada wa magongo? Aidha, TL hapaswi kupangiwa namna ya kutumia muda wake wa mapumziko wakati akiwa bado kwenye matibabu, ni mtu mzima anajua ni nini anachokifanya hivyo apewe uhuru wake anaostahili bila kuingiliwa na yeyote

3. TL anafanya ziara za kueleza na kulalamikia haki zake zinazoporwa/kutokutendewa haki anayostahili, amenyimwa fedha za matibabu, hakuna taarifa za uchunguzi wa kushambuliwa kwake, Bunge limemtelekeza hata kumjulia hali hosp hawakufanya hivyo, na sasa pole wanayotaka kumpa ni kumnyima mshahara wake na kumpokonya kwa mabavu ubunge wake,

4. TL sio mjinga, anachokifanya hadharani ni kutoa taarifa kwamba kuna mambo hayako sawa, wahusika wajirekebishe na watimize wajibu wake, lakn lazima kuna hatua zitafuata kama ukatili ndidi yake utaendeleza kama anavyotaka kufanya Spika Ndugai

5. Kama wanataka kumhoji dereva au TL mwenyewe utaratibu upo na anaweza kuhojiwa popote hata kama ni hosp, nini kinawashinda hao wapelelezi kuwahoji wanaotaka kuwahoji?

TUWE NA HURUMA, TUTANGULIZE NIA NJEMA, TL YUKO HAI ANAJUA KILICHOMPATA ANA AKILI TIMAMU.
 
Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?

-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?

-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?

Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya

=====================

Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.

#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Hekima kitu bora sana.

Tuitumie katika kuongoza jamii.
Ndugai anachokifanya leo hii, hasije sikitika akifanyiwa na yeye.
 
Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?

-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?

-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?

Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya

=====================

Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.

#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Ndugai hasomi magazeti, haangalii Voa na hawasiliani na Serikali au mabalozi wao huko USA Belgium na Germany!
Dunia nzima inajua alipo TL isipokuwa Job Ndugai!
 
Speaker nae anachemka awaandikie barua wadhamini wake wamjulishe TL yuko wapi,Wadhamini watawasiliana na daktari wake kisha daktari atawapa majibu kuhusu maendeleo ya mgonjwa.
 
Kauli za Magu zimekuwa mifano halisi katka kujibu maswali anayoulizwa pindi Lissu akiwa anahojiwa

Kauli za Magu zimekuwa zikiwapa wakati mgumu mabalozi na watu wengine wanapojaribu kumtetea pale Lissu akiweka mambo hadharani

Kama kuna kitu wasiojulikana walikosea basi ni kumshambulia mwanasheria na zaidi ni mwanasiasa na inabidi mjuute maana ye anapigana na maadui anaowafahamu ndio maana tunasikia kila aina ya vilio
Wenzetu waliombele kwenye mambo ya sanaa ya uongozi huwa wanatumia akili kupambana na washindani wao kisiasa, Kwa kuwanunua,kuwateua,kuwaweka karibu,kutokuhangaika nao,hawa utumia zaidi nguvu kuliko sanaa ya akili kummaliza mshindani wako.Thus ujikuta wakiharibu zaidi.Action yeyeto juu ya Tl itazidi kuwabomoa zaidi dunia inafatilia kila action kumnyma stahiki zake itaiaminisha dunia kumbe ni kweli.
 
Tafadhali tuoneshe report ya daktari yenye kuthibitisha kuwa amepona la sivyo utakuwa mnafiki tuu mkuu
Tuache siasa,hata ungekuwa wewe ndio muakiri wa Lissu usingemlipa mshahara kutokana na sababu zifuatazo,1.Ukiwa mgonjwa na mwajiri wako anajua mgonjwa umelazwa hospitali utastahili uipwe mshahara sababu upo hospitalini umelazwa na unaumwa,lakini ghafla anakuona mgonjwa haupo hospitalini na hujatoa sababu ya kutokuwepo hospitalini ,halafu anakuona ukiserebuka mdumange kwenye vijiji vya mbali basi ,mosi atakuona umepona na pili atakushangaa kama umepona na unaweza kwenda kucheza ngoma vijiji vya mbali badala ya kurudi kazini hapo si utakuwa umjiachisha kazi.Tushukuru tanzania sio kama nchi za Ulaya au Marekani,haiwezekani mgonjwa ukaonekana mitaani unafanya yako wakati ruksa yako ilikuwa ya ugonjwa halafuuje udai mshahara,hilo ni kosa la wizi na hapo hapo Lissu angekuwa rupango

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?

-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?

-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?

Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya

=====================

Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.

#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?

Ina maana Spika hamtambui Balozi wetu wa Marekani aliyeshiriki mahojiano ya Radio na TV za VoA?
Balozi ni muwakilishi wa nchi yetu kule na anatambua wazi alikuwa wapi na Mh TL.Kusema ofisi ya Bunge haitambui alipo ni kudharau ubalozi wetu uliokuwa ana kwa ana na Mh TL
 
Ipo haja ya kusimamisha mshahara wa Tundu Lissu kwa sababu hayupo jimboni, Bungeni na hospitalini na sijapewa taarifa ya Daktari

Swali toka kwa Mwanahabari Huru: Je -Waliompiga Lissu risasi wameshapatikaka?

-CCTV ulishawai kuhoji nani amezitoa?

-Lissu alipigwa risasi akiwa Jimboni au kazini Hapo Dodoma?

Ukiwa kiongozi Ushabiki ni mbaya

=====================

Spika wa Bunge Bw.Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na Malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Mhe.Tundu Lisu kuanzia mwezi huu kutokana ana Ofisi yake kutokuwa na Taarifa sahihi ya mahali alipo kwasasa na anachokifanya huko. Hii ina maana Lissu hatalipwa mshahara tena kuanzia sasa hadi pale Spika atakapojisikia.

#MyTake:
Hawa ndio wale Balozi Masilingi alisena wameumizwa sana na shambulio la Lissu. Yani waliumizwa sana lakini hawajahangaika kujua aliyeng'oa camera za CCTV. Waliumizwa sana wakaondoa ulinzi siku ya shamvulio la Lissu. Wakaumizwa sana lakini wakamnyima hela za matibabu ili afe, lakini Mungu akamuokoa kwa neema. Sasa wameumizwa sana wameamua kumsimamishia mshahara. Hivi bado tunahangaika kutafuta waliomshambulia Lissu kwa risasi?
Sawa kabisa kusimamisha mshahara wa Lissu. Hata mfanyakazi mwingine wa umma ukiwa mgonjwa kwa zaidi ya miezi mitatu na jopo la madaktari wathibitishe kwamba unaumwa kweli, utastaafishwa kwa ajili ya afya yako na kupewa nusu mshahara kwa miezi sita inayofuata. Kama utaendelea kuumwa baada ya hapo basi utastaafishwa moja kwa moja. Kwa Lissu hakuna daktari aliyeleta taarifa na Lissu mwenyewe yuko anazunguka ulimwenguni akitukana mwajiri wake na kuidhalilisha nchi kwa ujumla. Ni sahihi kabisa kusimamisha mshahara wake. Hela zetu za wanyoge kutoka kwenye kodi zisitumike kumlipa mtu ambaye anakwenda kututukana kwa mabwana zake.
 
Back
Top Bottom