Kimsingi hili swala la JKT linapaswa kuwekewa maandalizi ya kutosha ili vijana wote Tanzania wapate nafasi ya kujiunga na si shule 24 tu
Safi sana..na si kuleta ubabaishaji uso kuwa na maelezo ya kina...Kama Serikali haijafanya maandalizi a kutosha, wangetangaza kwamba, wanafunzi wanaopenda kwenda wa volunteer...na si kuchagua shule 24 tu...
Hakuna anayependa kwenda jeshini kwa mtindo huu wa kulazimishana...tena siku hizi hata ajira hamna...unahenya kulitumkia Taifa...then unakaa kusotea ajira...na Hata ajira zisizo rasmi..serikali haizitengenezi...so kwanini kijana aende Jeshini...? Ni ngono tu kule kwa dada zetu...Hamna lolote.....