Josse kongolo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 412
- 854
Oh very sory mi nipo mkoanipwani
Oh very sory mi nipo mkoanipwani
mkoa gan mkuuOh very sory mi nipo mkoani
Mbeyamkoa gan mkuu
oky mkuu kwetu ni irnga sem uk mishe fln imeniletaMbeya
Sawa ukitingwa sana tuwasilianeoky mkuu kwetu ni irnga sem uk mishe fln imenileta
Nani kakwambia jeshin wanaenda waliofeli nenda kabebe mizigo boss acha kudharau kazi za watu
Ila kumbuka kuwa form four mwisho miaka 20 mpaka 21 mdogo wangu.nna kila cheti mkuu kuanzia birth certificate mpak fom four umri pia n poa tuombe Mungu tu
Kwan 4 Ya 26 FailuresAchana na dhana potofu kua wote wanaokwenda vyombo vya usalama ni failures ,,
Kwan Mtu Kupata 4 Ni Amefeli?Nani kakwambia jeshin wanaenda waliofeli nenda kabebe mizigo boss acha kudharau kazi za watu
poa mkuuSawa ukitingwa sana tuwasiliane
najua hilo mkuuIla kumbuka kuwa form four mwisho miaka 20 mpaka 21 mdogo wangu.
Ila kumbuka kuwa form four mwisho miaka 20 mpaka 21 mdogo wangu.
Pwani kupata nafasi ni issue.pwani
kwanin mkuuPwani kupata nafasi ni issue.
Kule unaenda kupata elimu mbalimbali kijana, ikiwemo uzalishaji mali.Bado ,Labda wataanza Usaili mwisho wa mwezi wa 11,
Ila Jkt ya sasa vyuma vimekaza sana coz saivi watu wanaenda wanapigishwa mzigo weeee miaka miwili y'a mkataba ikiisha zaidi ya nusu ya watu mnaweza jikuta mnarudishwa home unarudi tena kuanza maisha ya kitaa so mi nawashauri muangalie na vitu Vngn vya kufanya coz kule nako ckuhizi ajira bado yakubahatisha, kuna tetesi nyngn kuwa op magu watarudishwa baada ya mkataba kuisha mwezi ujao
Huo umri ni wa form sixIla kumbuka kuwa form four mwisho miaka 20 mpaka 21 mdogo wangu.