Mantissa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 876
- 166
Jamani, kweli tulikuwa tunaongozwa na viongozi wa dini kabisa hatukuwa na kiongozi wa serikali. Jamaa kathibitisha kabisa hawezi kuwatengua kwani mpaka hapo bado watuhumiwa. Inakuwaje wagombea ubunge n.k walikuwa wakiondolewa kugombea nafasi zao? Huyu fisadi tu, aondoke.