Huyu Mjamaa huwa ni mwongo sana mara nyingi anakataa kauli zake mwenyewe ,yeye na rafiki wake wa zamani Lowasa walisema barabara na hoteli zitajengwa tuu na hakuna wakukataa leo anakanusha jamaa kwa uongo kajaliwa ,katudanganya maisha mazuri kwa kila mtanzania yanawezekana mpaka sas tumevimba mashavu na matumbo kwa utapiamlo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.