engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Kama ameyapenda MAGWANDA basi watu wake wamchagulie rangi yao ya kijani/njano, hili alilovaa leo anatauma ujumbe gani?
Hongera Mh Raisi unaonyesha kweli ni mchapa kazi bado hujasahau ulikotoka,hivyo ndivyo ilivyo kwa wachapakazi,
kwa kuwa kafanya Mh JK hamsemi,Angefanya Rais wa China Mngesifia kweli,
mnavyopenda kusifiwa mjue na kusifia wakuu