KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Kwani kama yeye mpya, Laigwenani wa zamani ndo nani?
mbona unatanga tanga,umeuliza kwani kikwete anagombea urais?nimekuuliza kwanini unauliza hivyo na wewe unauliza habari ya Laigwanan wa zamani,tukuelewe vipi,unataka kujua kama kikwete anagombea urais au unataka kumjua Leigwenani wa zamani?maana naona kama hayo mambo hayana uhusiano ila unayachanganya kwa sababu zako unazozijua mwenyewe lakini hutaki kuzisema na sisi tuzijue unatanga tanga tu..