tembeleh2
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 765
- 165
wa mujibu wa mwandishi wa gazeti la tanzania daima la leo (tar 29/2/2012), Prof. Mahalu alikuwa anajitetea mbele ya hakumu mkazi Kisutu akidai kwamba serikali ilihusika moja kwa moja ikiongozwa na wizara ya mambo ya nchi za nje na ushirikiano wa kimataifa chini ya JK. JK alifanya negotiations na malipo kwaawamu mbili.
Wana JF, Hili limekaaje???
Wana JF, Hili limekaaje???