Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wana JF na labda hata Nape anaweza kutusaidia hapa .Nina nyeti za uhakika kwamba terminal 3 is no more watu wamegawana pesa na mradi umesimama lakini ndiyo kifo chake .Ulifanyika ujanja kama ule uliotumika kuchukua pesa ya Safari ya JK .Mwakyembe kama sijakosea hili liko chini yako na JK unatueleza nini na hasa baada ya kuwaondoka watanzania tena wapiga kura wa CCM kwa mabavu na kuwafanya kuwa masikini kwa jina la kupanua uwanja na sasa kimyaaaa .