Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Kama Mtanzania ninayeipenda nchi yangu napenda kuonyesha masikitiko yangu toka moyoni kwa uteuzi wa mkuu wa mkoo wa Kilwa hivi karibuni bwan ulega Hamis Abdalla. Hivi JK kweli kwa kigezo cha urafiki kati ya huyu jamaa tapeli mwenye kesi mahakamani ambayo haijaisha unamteua kuwa kiongozi mkuu wa Wilaya? Aisee mie kwa kweli I am out of words labda nyie semeni wakuuu....
Niliwahi post issue ya utapeli ya huyu jamaa waweza gonga hapa chini;
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...m-na-kashfa-ya-utapeli-ahaha-kujisafisha.html
Kama uongozi unakushinda basi angalau chagua viongozi wenye tija watakusaidia angalau umalize kipindi kilichobaki.
Gomnga hapa kuona tapeli akiapishwa http://issamichuzi.blogspot.fr/2012/05/wakuu-wapya-wa-wilaya-mkoani-lindi-wala.html
Mungu bariki Tanzania, Munga bariki Africa