Qixima mQiqa
Senior Member
- May 18, 2012
- 178
- 20
Heee wazee wa kilwa wamepata Jizi ha ha ha asije akakimbiatu na pesa za halmashauri
William, Naamini unaelewa kiingereza, sasa soma hapa " "Mr Abdallah Hamis had absconded from work with the company money paid to him (on behalf of the company by customers as consideration for the products supplied to the customer. To such effect we have opened a police case at Kilwa Road Station bears police case No KRL/RB/182/08".
Huyo mwenyekiti unayemtaja naamini ni Mh Freeman Mbowe. Totauti na huyu bwana alichukuwa hela ya mteja akaondoka nayo badala ya kupeleka kunakotakiwa, Freeman amechukuwa mkopo. Na kinachoendelea ni dispute kwenye riba.
NB: Ulivyokuwa New York ulikuwa unatoa michango ya kistaarab sana hapa JF, sijui umepatwa na ugonjwa gani tangu urudi Tanzania. Un-educational comments kama hiyo hii ya Mbowe says at lot about the current state of your thinking than it says about those you want to mudslide. Mbowe ni mkopo, huyu bwana Abdallah ni mkopo?
Na huyu DC hayuko peke yake mwenye police case, yuko mwingine huko Mara anaitwa Henjewele. Nenda kituo cha Police Kawe na hizi Ref: KW/RB/244/2012.
Hoja iliyopo hapa sio U-DC bali charaters za hao wanaokalia hicho kiti and whether wana sifa za kuwa DC. Kama bwana Abdallah anakosa uaminifu na hela za wateja wa kampuni moja tu, tuamini atakuwa mwaminifu kwenye ofisi kubwa ya mkuu wa Wilaya?
Sisi watanzania watu wa ajabu sana ni wachache sana wenye mapenzi mema kwa wenzao...sasa kama ulega angekua na kesi mahakamani rais angemteua vipi kuwa mkuu wa wilaya?kwa hali ya kawaida tuu labda niwasaidie wale wasio fahamu na wenye uelewa mdogo kama inavyoonekana kwa mtoa hoja el toro maana hata neno mkuu wa wilaya kuandika limemshinda..idara ya usalama inamchunguza kwa kina kila mteule wa rais wa ngazi yoyote ile na kujiridhisha kabla hata rais ajafanya uteuzi sasa labda mwenzetu utuambie kesi namba yake au wivu tuu chuki na roho mbaya?au ulitakaa upewe wewe u-dc umekosa au ulitaka apewe mama yako?acha uchuro mnafiki wewe kila mtu na bahati yake na bahati ya mwenzio usiilalie mlango waziii,cv yake ya nini na itakusaidia nini nabihu?cv kapewa jakaya na kaona inafaa acheni wivuuuuu k..aaaa nyinyiii,ila kwa faida ya watu makini na wapenda mazuri kwa wenzao ulega ni graduate wa chuo kikuu cha dar-es-salaam na ana first class degree ya utawala na masters ya wildlife....inawachomaaaaaaaaaa wanafikii,hongera ulega fanya kazi kaka bahati hiyo kakupa mungu binadamu hana nafasi tenaa,do your job..!
Sisi watanzania watu wa ajabu sana ni wachache sana wenye mapenzi mema kwa wenzao...sasa kama ulega angekua na kesi mahakamani rais angemteua vipi kuwa mkuu wa wilaya?kwa hali ya kawaida tuu labda niwasaidie wale wasio fahamu na wenye uelewa mdogo kama inavyoonekana kwa mtoa hoja el toro maana hata neno mkuu wa wilaya kuandika limemshinda..idara ya usalama inamchunguza kwa kina kila mteule wa rais wa ngazi yoyote ile na kujiridhisha kabla hata rais ajafanya uteuzi sasa labda mwenzetu utuambie kesi namba yake au wivu tuu chuki na roho mbaya?au ulitakaa upewe wewe u-dc umekosa au ulitaka apewe mama yako?acha uchuro mnafiki wewe kila mtu na bahati yake na bahati ya mwenzio usiilalie mlango waziii,cv yake ya nini na itakusaidia nini nabihu?cv kapewa jakaya na kaona inafaa acheni wivuuuuu k..aaaa nyinyiii,ila kwa faida ya watu makini na wapenda mazuri kwa wenzao ulega ni graduate wa chuo kikuu cha dar-es-salaam na ana first class degree ya utawala na masters ya wildlife....inawachomaaaaaaaaaa wanafikii,hongera ulega fanya kazi kaka bahati hiyo kakupa mungu binadamu hana nafasi tenaa,do your job..!
Sisi watanzania watu wa ajabu sana ni wachache sana wenye mapenzi mema kwa wenzao...sasa kama ulega angekua na kesi mahakamani rais angemteua vipi kuwa mkuu wa wilaya?kwa hali ya kawaida tuu labda niwasaidie wale wasio fahamu na wenye uelewa mdogo kama inavyoonekana kwa mtoa hoja el toro maana hata neno mkuu wa wilaya kuandika limemshinda..idara ya usalama inamchunguza kwa kina kila mteule wa rais wa ngazi yoyote ile na kujiridhisha kabla hata rais ajafanya uteuzi sasa labda mwenzetu utuambie kesi namba yake au wivu tuu chuki na roho mbaya?au ulitakaa upewe wewe u-dc umekosa au ulitaka apewe mama yako?acha uchuro mnafiki wewe kila mtu na bahati yake na bahati ya mwenzio usiilalie mlango waziii,cv yake ya nini na itakusaidia nini nabihu?cv kapewa jakaya na kaona inafaa acheni wivuuuuu k..aaaa nyinyiii,ila kwa faida ya watu makini na wapenda mazuri kwa wenzao ulega ni graduate wa chuo kikuu cha dar-es-salaam na ana first class degree ya utawala na masters ya wildlife....inawachomaaaaaaaaaa wanafikii,hongera ulega fanya kazi kaka bahati hiyo kakupa mungu binadamu hana nafasi tenaa,do your job..!
Jamani acheni siasa za maji taka, mbona hakuna kesi kwenye mahakama yoyote inayomhusu huyo jamaa, hiyo kesi ilikuwa mwaka 2008 wakati wa kampeni za uvccm,kosa lake ni kwenda kwenye kampeni bila ruhusa na hakukabidhi ofisi
Hasa huyu ndio anawafaa sana watu wa Kilwa, maana amesomea mambo ya baharini na vijidudu vyake kwa hiyo ni asset kubwa hii mbona hivi wewe?
- Wewe mbona Mweenyekiti wenu alikuwa anadaiwa na NSSF lakini anafaa, sasa huyu kosa lake nini kutuhumiwa bila hukumu? I mean sometimes mbona mnakuwa na chki za kijinga sana!
- Mwacheni kijana afanye kazi jamani, mbona kwenye chama hamkusema haya?
William.
William, Naamini unaelewa kiingereza, sasa soma hapa " "Mr Abdallah Hamis had absconded from work with the company money paid to him (on behalf of the company by customers as consideration for the products supplied to the customer. To such effect we have opened a police case at Kilwa Road Station bears police case No KRL/RB/182/08".
Huyo mwenyekiti unayemtaja naamini ni Mh Freeman Mbowe. Totauti na huyu bwana alichukuwa hela ya mteja akaondoka nayo badala ya kupeleka kunakotakiwa, Freeman amechukuwa mkopo. Na kinachoendelea ni dispute kwenye riba.
NB: Ulivyokuwa New York ulikuwa unatoa michango ya kistaarab sana hapa JF, sijui umepatwa na ugonjwa gani tangu urudi Tanzania. Un-educational comments kama hiyo hii ya Mbowe says at lot about the current state of your thinking than it says about those you want to mudslide. Mbowe ni mkopo, huyu bwana Abdallah ni mkopo?
Na huyu DC hayuko peke yake mwenye police case, yuko mwingine huko Mara anaitwa Henjewele. Nenda kituo cha Police Kawe na hizi Ref: KW/RB/244/2012.
Hoja iliyopo hapa sio U-DC bali charaters za hao wanaokalia hicho kiti and whether wana sifa za kuwa DC. Kama bwana Abdallah anakosa uaminifu na hela za wateja wa kampuni moja tu, tuamini atakuwa mwaminifu kwenye ofisi kubwa ya mkuu wa Wilaya?
akili kama za Lusinde mjinga mkubwa
Mbowe alikopa na akashindwa kurejesha jambo ambalo ni la kawaida na sio wizi.Hamna mfanyibiashara asiyekopa.Je kitendo cha Mbowe kukope na kushindwa kurejesha kwa wakati ni wizi???????? unaweza kukifananisha na kitendo cha ABDALAH ULEGI?????????
hutuView attachment 54450
Kama Mtanzania ninayeipenda nchi yangu napenda kuonyesha masikitiko yangu toka moyoni kwa uteuzi wa mkuu wa mkoo wa Kilwa hivi karibuni bwan ulega Hamis Abdalla. Hivi JK kweli kwa kigezo cha urafiki kati ya huyu jamaa tapeli mwenye kesi mahakamani ambayo haijaisha unamteua kuwa kiongozi mkuu wa Wilaya? Aisee mie kwa kweli I am out of words labda nyie semeni wakuuu....
Niliwahi post issue ya utapeli ya huyu jamaa waweza gonga hapa chini;
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...m-na-kashfa-ya-utapeli-ahaha-kujisafisha.html
Kama uongozi unakushinda basi angalau chagua viongozi wenye tija watakusaidia angalau umalize kipindi kilichobaki.
Gomnga hapa kuona tapeli akiapishwa MICHUZI: wakuu wapya wa wilaya mkoani Lindi wala viapo
Mungu bariki Tanzania, Munga bariki Africa
source: Mwananchi, 5 january 2012 na pia kwenye the guardians toleo la 02 jan 2012
ni kigogo wa uvccm mkoa wa pwani
aliwahi kugombea ubunge tiketi ya ccm pwani 20120 akatoswa kwenye kura ya maoni...
Ametapeli hela za hiyo kampuni na kesi yake iko mahakamani
kwa sasa viongozi wa juu wa uvccm, usalama wa taifa na yeye mwenyewe wanahaha kumsafisha kwani yumo kwenye shortlist ya mkulu kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya
my take: Hii ndio aina ya viongozi tunaowaandaa waje kuwa mawaziri kwa utapeli huu akiwa kiongozi wa juu hata kidogo tulichonacho kitapona kweli? Jk tuonee huturuma watanzania kwa miiaka minne iliyobaki kwa mwendo huu
ukiimaliza tutakuwa wapi.
Nawakilisha................... ..attached thumbnails
reply reply with quotei am insured by the mafia mob, you hit me, we hit you...come and enjoy "the coke" side of me.
- Wewe mbona Mweenyekiti wenu alikuwa anadaiwa na NSSF lakini anafaa, sasa huyu kosa lake nini kutuhumiwa bila hukumu? I mean sometimes mbona mnakuwa na chki za kijinga sana!
- Mwacheni kijana afanye kazi jamani, mbona kwenye chama hamkusema haya?
William.