Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,366
- 6,492
JK alipokuwa Kawe aliwaambia wagombea ubunge na udiwani kwa tiketi ya CCM kuwa wenyewe wajibu kero za wananchi na ilani ya uchaguzi ya CCM wamwachie yeye. Sasa tofauti iko wapi? Hivi kazi ya mbunge na diwani ni kujibu kero za wananchi au kuisimamia serikali, kuwakilisha wananchi zikiwemo kero na kutunga sheria? JK anajua kweli kazi za mbunge na diwani?