RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
IMEKAEJE HIYO? ma Doctor wamegoma, watz wanahaha kunusuru uhai jk mbona haonyeshi kujari?
Yaani cpati picha uko ameenda kufanya nini...kwanza mkutano wa DAVOS umekusudiwa hasa mataifa ya ULAYA yanayofiliskia pili kushuka kwa thamani ya EURO na tatu ARAB spring na vikwazo vya IRAN ambapo uchumi unaweza kushuka kwa ajiri ya mafuta..sasa kwanza cdhan ata km atapewa nafasi ya kuongea pili haina maana sana zaidi ya kutumia mamilioni ya walipa kodi ambapo safari yake moja ni madara kadhaa yanayoweza kujengwa....Kaacha mgomo wa MADAKITARI ambao bado haujashugulikiwa sidhani km kweli anajua majukumu yake mpaka baba wa watu MIZENGO PINDA leo kaongea ukweli jinsi anavyokosa usingizi kwakuachiwa mizigo mikubwa ya serikali.....HIVI NYUMBA YAKO IPO HATARINI KUUNGUA THEN UNAENDA KUJADIRI ISHU HIZO HIZO KILA WAKATI KWELI?
IMEKAEJE HIYO? ma Doctor wamegoma, watz wanahaha kunusuru uhai jk mbona haonyeshi kujari?