dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Jana nimemsikia ****** anadai hospitali zote hadi za willayani zina xray na madawa ya kutosha hivi kaambiwa tuu au katembelea hizo hospitali kama groves hakuna hizo dawa ndo zitakuwepo? Yale mashuka ambayo hayajulikani rangi vp, wagonjwa kulala hadi 4 kitanda kimoja na kuzidi kuambukizana magonjwa ndo maisha bora hayo?
Vp ajira zetu zimebaniwa ulaya au misaada imekwisha? Shilingi yetu vp? Hivi hawa wanatuonaje hivi
Vp ajira zetu zimebaniwa ulaya au misaada imekwisha? Shilingi yetu vp? Hivi hawa wanatuonaje hivi