Mrema yuko sahihi, kwenye halmashauri kunapelekwa pesa nyingi za maendeleo lakini zinatumbuliwa haswa.
Mayor
Baraza la madiwani
Mkurugezi
Wakuu wa idara
Hiyo network iki team kwisha habari
Mh Mrema ambaye ni mbunge wa Vunjo amesema ktk serikali ya JK watu waliomo ktk serikali za mitaa ni wezi kwa kuiba fedha za maendeleo ya jamii bila ata huruma wanazila.
MY TAKE;
Kama hali ndo ivyo je tutafika?