JK: Fumba Macho Umeze Kiwembe kwa Faida ya CCM..

Gagurito

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
5,600
804
Kwa wale waliopata kuangalia kipindi cha JE TUTAFIKA Channel ten kinachoongozwa na Mwanahabari, Kada mfu wa ccm ndugu Makwaiya wa Kuhenga nadhani hii habari sio ngeni kwao.. Kwa walemliopitwa basi ndio kazi yetu wanajf kujulishana.
WanaJF ni kwamba ktk mazungumzo, mchangia mada mmoja amepasa kumuasa kwa kutoa Rai kwa mh. Mwenyekiti wa chama kufumba macho na kula kiwembe, akiwa na maana ya kutowafumbia watu macho wote wachafuao chama, kwan kwa kufanya hivyo itasaidia kukijenga chama chake na kukifanya kiwe na mvuto kwa wananchi kwan kwa hali ya sasa kimechafuka, kimechokwa na kipo taabani. kwa kuongezea ndugu makwaiya alisema, kwa sisiem kujijenga mh mwenyekiti wake anapaswa kuchukua nafasi ya DOCTA WA MENO PINDI ANG'OAPO JINO MWANAE coz hali inatisha na ufagio wa chuma ni mhm!
Hivyo JK anapaswa kuja na suluhu ya matatizo haya!..
 
Back
Top Bottom