hii thread pAmoja na michango ya wachangiaji haina dira wala mwelekeo.imekaa kichukichuki na kimbea kimbea ttu.
teh teh teh !
Na mmoja wachangiaji anaitwa INAUMA !
Sidhani kama nafasi hii ya huyu Mkuu akipewa mtu yeyote anaweza kufanya kama yeye. He is very exceptional!![
exceptional?kazi mnayo hivi hamuoni aibu kusifia visivyosifika?
Read between the line guy!!!
sidhani kama nafasi hii ya huyu mkuu akipewa mtu yeyote anaweza kufanya kama yeye. He is very exceptional!!
wabongo hawana jema. Mtaishia hivyohivyo na wivu wenu.
Kigogo una gubu sanaView attachment 43926
daaah JK huyo anakagua mpaka ubwabwa wanaopikiwa walioathirika na mafuriko ...kazi ipo rais wangu