Nadhani ni jambo lisilopingika kwamba foleni za barabarani ktk jiji la Dar zinaongezeka siku hadi siku.
Ninashauri JK na viongozi wengine wanaopenda sana misafara mirefu waanze utaratibu wa kutumia ELIKOPTA kutoka pale kwenye viwanja vya Magogoni/Ikulu kwenda na kurudi AIRPORT.
Vilevile niliwahi kusikia kwamba pale juu kabisa ya TWIN TOWERS palitengenezwa imara sana kwa lengo kama hilo, kwamba Rais anaweza kutoka pale Ikulu akafika kwenye majengo hayo, akapanda lift hadi juu, akaingia kwenye ELIKOPTA akaanza mpaka Air Port na wakati wa kurudi hivyo hivyo.
Je hii itapunguza foleni kwa kiasi gani??????????
Ninashauri JK na viongozi wengine wanaopenda sana misafara mirefu waanze utaratibu wa kutumia ELIKOPTA kutoka pale kwenye viwanja vya Magogoni/Ikulu kwenda na kurudi AIRPORT.
Vilevile niliwahi kusikia kwamba pale juu kabisa ya TWIN TOWERS palitengenezwa imara sana kwa lengo kama hilo, kwamba Rais anaweza kutoka pale Ikulu akafika kwenye majengo hayo, akapanda lift hadi juu, akaingia kwenye ELIKOPTA akaanza mpaka Air Port na wakati wa kurudi hivyo hivyo.
Je hii itapunguza foleni kwa kiasi gani??????????