Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,607
- 93,317
Sophia Simba dini gani eti?
Ni mkristo mkatoliki ila ni mzaramo.
Sophia Simba dini gani eti?
Hivi Miraji anafanya kazi gani? Riz1 anajulikana biashara zake,Je huyu? Kuna mtoto mwingine ni Dr.Muhimbili,Je Miraji anafanya kazi gani? Au naye ni Ivo?
wakristo naona imewauma....
Mlitaka nini ?
Mara hatujaalikwa....
Mara miraji mbiwa unga ...
Mlichotaka nini hasa.. ?
Leo mnataka kualikwa kwenye harusi za magaidi ?
Leo mnataka kualikwa kwenye harusi za wafuga majini ?
Leo mnataka kualikwa kwenye harusi za za wavaa vipedo ?
Leo mnataka kualikwa kwenye harusi za wala ubwabwa wasiosoma ?
Nyinyi wakristo wasomi bwana harusi za wasiosoma mnazitakia nini ?
Mbona nyinyi harusi zenu hamna mtu anaye waletea uchawi kama huu mnaouleta humu ?
Wakati mechi kibao zilishapigwa kabla.
Mtu hula ubwabwa na wale wanaomhusu kwenye familia yake
True,kama nisingeona majina ya viongozi walioalikwa,ningesema ni shughuli ya kifamilia.
Ni mkristo mkatoliki ila ni mzaramo.
Wivu huo!! Kikwete bado anao watoto wa kiume. Mpeleke na wewe mwanao akaolewe na mmoja. Haya yote yanakuja kwa sababu mtoto wake ameolewa na mtoto wa Amiri J. Huyo Amiri J ni mtu tu kama mimi na wewe!! Acha roho ya kichawi.
Sophia Simba dini gani eti?
Wazaramo kwa ubwabwa!!
Hawana marafiki wasio dini yao?
ha ha ha kaka we noma aisee hapo kwenye red nimecheka sana....Ni mkristo mkatoliki Aila ni mzaramo.
Wakristo naona imewauma....
Mlitaka nini ?
Mara hatujaalikwa....
Mara Miraji mbiwa unga ...
Mlichotaka nini hasa.. ?
Leo mnataka kualikwa kwenye harusi za Magaidi ?
Leo mnataka kualikwa kwenye harusi za wafuga majini ?
Leo mnataka kualikwa kwenye harusi za za wavaa vipedo ?
Leo mnataka kualikwa kwenye harusi za wala ubwabwa wasiosoma ?
Nyinyi wakristo wasomi bwana harusi za wasiosoma mnazitakia nini ?
Mbona nyinyi harusi zenu hamna mtu anaye waletea uchawi kama huu mnaouleta humu ?
Mlimkaribisha kiongozi wa waasi zzk?
hawana marafiki wasio dini yao?