Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Umemaliza kutukana?, tufafanulie basi ili tuelewe na tufaidike na janvi.
Mnapoleta upuuzi kwenye masuala ya utu huo ni ushenzi
Mnapoleta upuuzi kwenye masuala ya utu huo ni ushenzi
rz 1?au nani?
Tuliza moyo wakooo....
Kubali mapungufu yakoooo...
Chunga tamaa mbaya, Chunga Tamaa mbaya ...
Mtoto wake anaharaka sana ngoja aanze kutoa utabiri hovyo!,
RIP Sheikh Yahya!
Wana jf kwa habari nilizopata hivi punde kupitia 88.4FM mtoto wa Sheh Yahya ameongea hewani akisema babake alishamkabidhi mikoba yake yote na ofisi zote zilizopo Tz, Kenya, London na swazland.
So kinachoniuma zaidi wale ndugu zetu wa magamba bado wanalo kimbilio lao la kuizindika nchi. Jamani Mungu utusaidie tujikomboe kutoka kwenye hizi kamba
RIP Sheh Yahya Husein
MziziMkavu.....hii habari mbona ilishatoka toka jana saa tano asubuhi hapa hapa JF......au wewe ndio umeisikia leo?
...basi na dogo ane atawawekea mazindiko hao CHADEMA ili mambo yawanyokeee....ound:ound:ound:Hapa kinachonisikitisha huyu mwanae Hussein ni kamanda wa CHADEMA na aligombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA jimbo la kinondoni mwaka 2005 na mwaka jana 2010 aligombea Udiwani magomeni kata ya mzimuni kwa tiketi ya CHADEMA lakini kura hazikuosha.
Namshauri aendeleze yale mema tu ya baba yake, lakini hili la kufuga majini na kutoa tabiri za kuwajaza hofu Watanzania halikubaliki. kama kungekuwa na dawa ya kushinda uchaguzi kweli. basi huyu mwanae Sheikh ubwabwa angekuwa tayari ni mbunge au diwani kwa tiketi ya CHADEMA.
dah! barabara ya morogoro ili fungwa kwa saa zima leo majira ya saa nane hadi saa tisa ili kuruhusu waandamanaji walio kuwa wameubeba mwili wa Sheikh Yahya kupita ukitokea msikitini kuelekea makaburini maeneo ya karibu na hospital ya Muhimbili.
Hakika safari yake imefana sana hasa kutokana na wasindikizaji wengi walio msindikiza kwenye safari yake ya mwisho, wengi wa wasindikizaji walikuwa wamevaa vibarakashia, sijui ndio kusema hawa watu ndio walikuwa wafuasi wake au kutokana na imani yake?
Napenda kutoa pole yangu kwa mh.Jakaya M.Kikwete kwa kuondokewa na mlizi wake hodari, hakika nipengo kubwa sana ambalo wakuliziba hayupo kwa sasa! Hofu yangu ni kwamba rais wetu usalama wake kwa sasa utakuwa mashakani...
Hivyo basi watanzania tuzidishe ulinzi kwa mpendwa wetu Jakaya Kikwete ili wabaya wake wasimzuru... Kwa wale wenye huwezo kama wa Sheikh Yahya jitokezeni kutoa ulinzi tafadhali...
R.I.P Sheikh Yahya
hakika unaonyesha jinsi ulivyomdini kwa kuhusisha mavazi ya watu na imani za dini yao lakini sikushangai kwa sababu mfumo kiristo tanzania umeota mizizi mpaka watu kama nyinyi hamna mnachowaza bali kubaguwa watu kwa kutegemea vazi gani mtu kavaa.