Jk aongoza maziko ya shekh yahya hussein

peacebm

Member
Jan 31, 2010
57
9
Wana jf kwa habari nilizopata hivi punde kupitia 88.4FM mtoto wa Sheh Yahya ameongea hewani akisema babake alishamkabidhi mikoba yake yote na ofisi zote zilizopo Tz, Kenya, London na swazland.
So kinachoniuma zaidi wale ndugu zetu wa magamba bado wanalo kimbilio lao la kuizindika nchi. Jamani Mungu utusaidie tujikomboe kutoka kwenye hizi kamba
RIP Sheh Yahya Husein
 
Wana jf kwa habari nilizopata hivi punde kupitia 88.4FM mtoto wa Sheh Yahya ameongea hewani akisema babake alishamkabidhi mikoba yake yote na ofisi zote zilizopo Tz, Kenya, London na swazland.
So kinachoniuma zaidi wale ndugu zetu wa magamba bado wanalo kimbilio lao la kuizindika nchi. Jamani Mungu utusaidie tujikomboe kutoka kwenye hizi kamba
RIP Sheh Yahya Husein

Kwa Bwana kila goti litapigwa. Jina lake lapita majina yote.
 
Amelaaniwa mtu amtegemeaye mwanadamu kuwa ngao na kinga ya maisha yake.
Je tutaepukaje laana hii iwapo Mkuu wetu wa nji alitegemea ulinzi usio onekana kutoka kwa huyu shehe magirini?
 
Siku zote biashara za kiafra akifa founder kwishney! Yani shughuli ya kigagula yahaya isiyo na business plan haitadumu kamwe! Labda sasa mademu na wake za watu watamkoma huyo kigagula mtoto!
 
mzee afadhali numenijuza kumbe huyu sheikh alikuwa na ofisi hadi london????mweeeee!!!!
 
Tuliza moyo wakooo....

Kubali mapungufu yakoooo...

Chunga tamaa mbaya, Chunga Tamaa mbaya ...

Mtoto wake anaharaka sana ngoja aanze kutoa utabiri hovyo!,

RIP Sheikh Yahya!
 
du huyo mwanae ni noma. Yaani hata dingi hajazikwa yeye anatangaza nia..inaelekea amesubir kwa muda mrefu sana.
 
Wana jf kwa habari nilizopata hivi punde kupitia 88.4FM mtoto wa Sheh Yahya ameongea hewani akisema babake alishamkabidhi mikoba yake yote na ofisi zote zilizopo Tz, Kenya, London na swazland. So kinachoniuma zaidi wale ndugu zetu wa magamba bado wanalo kimbilio lao la kuizindika nchi. Jamani Mungu utusaidie tujikomboe kutoka kwenye hizi kamba RIP Sheh Yahya Husein
Mnapoleta upuuzi kwenye masuala ya utu huo ni ushenzi
 
Hapa kinachonisikitisha huyu mwanae Hussein ni kamanda wa CHADEMA na aligombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA jimbo la kinondoni mwaka 2005 na mwaka jana 2010 aligombea Udiwani magomeni kata ya mzimuni kwa tiketi ya CHADEMA lakini kura hazikuosha.
Namshauri aendeleze yale mema tu ya baba yake, lakini hili la kufuga majini na kutoa tabiri za kuwajaza hofu Watanzania halikubaliki. kama kungekuwa na dawa ya kushinda uchaguzi kweli. basi huyu mwanae Sheikh ubwabwa angekuwa tayari ni mbunge au diwani kwa tiketi ya CHADEMA.
 
Sheikh Yahya afariki dunia


Aliyekuwa mnajimu maarufu, Sheikh Yahya Hussein
Mnajimu maarufu Sheikh Yahya Hussein afariki dunia jijini Dar es Sa;laam. Mtoto wa marehemu, Hassan Yahya Hussein, amedhibitisha kwamba baba yake amefariki dunia mnamo saa nne asubuhi ya leo nyumbani kwake Mwembe Chai jijini Dar es Salaam ambapo alikua anasumbuliwa an maradhi ya moyo.

Hassan amesema mipango ya mazishi inafanyika nyumbani Mwembe Chai, na kwamba maziko yanatarajiwa kufanyika kesho hapo nyumbani kwa marehemu.Mola aiweke Roho ya Marehemu pema Peponi
CHANZO: NIPASHE
 
Hakuna lolote.Nguvu za giza zimeshindwa kwa jina la Yesu.
<br />
<br />
Amen! Mungu ashukuriwe kuwa ameamua kutukomboa mwenyewe! Mungu karibu Tanzania uisafishe nchi hii, tumeonewa vya kutosha, vunja kila miungu inayoabudiwa kinyume chako, wakomeshe watawala wanaotusababishia maisha magumu hadi wengine tunakikosea kwa kulazimishwa! Wachukue utumwani watawala wetu kama ulivyomchukua mfalme Nebkadreza porini miaka saba! Hiyo iwe kwa wale unaotaka wajirekebishe, lakini kwa wengine waondolee mbali pamoja na uzao wao kama Ahabu na Sauli! Najua kila aliyemtumainia mchawi akakuacha wewe utamshughulikia kikamilifu na haitakuwa kwa sauli na Ahabu tu, tunataka kukuona ktk hili ili tuamini maneno yako kuwa yaliyoandikwa kutendeka yalitendeka kweli na ni wewe yuleyule jana, leo na hata milele.
Nakushukuru Mungu kwa kusikia maombi yangu kwa niaba ya WaTanzania wote
wanaoteseka na kuonewa na jina lako na watumishi wako kutukanwa!
 
kumbe CHADEMA WAMERITHI MIKOBA YA SHEHE YAHAYA...! HAYA JITABIRIENI SASA
 
Hofu ni kwa wale alio wawekea ulinzi uso onekana! Kifo ni njia ya kila mmoja wetu kuondoka duniani!
 
Amen! Ngome zote za mwovu shetani naziangusha kwa jina la YESU. Uhimidiwe Mungu kwa kuwa umedhihirisha kuwa WEWE ni MUNGU
<br />
<br />
Amen! Mungu ashukuriwe kuwa ameamua kutukomboa mwenyewe! Mungu karibu Tanzania uisafishe nchi hii, tumeonewa vya kutosha, vunja kila miungu inayoabudiwa kinyume chako, wakomeshe watawala wanaotusababishia maisha magumu hadi wengine tunakikosea kwa kulazimishwa! Wachukue utumwani watawala wetu kama ulivyomchukua mfalme Nebkadreza porini miaka saba! Hiyo iwe kwa wale unaotaka wajirekebishe, lakini kwa wengine waondolee mbali pamoja na uzao wao kama Ahabu na Sauli! Najua kila aliyemtumainia mchawi akakuacha wewe utamshughulikia kikamilifu na haitakuwa kwa sauli na Ahabu tu, tunataka kukuona ktk hili ili tuamini maneno yako kuwa yaliyoandikwa kutendeka yalitendeka kweli na ni wewe yuleyule jana, leo na hata milele.
Nakushukuru Mungu kwa kusikia maombi yangu kwa niaba ya WaTanzania wote
wanaoteseka na kuonewa na jina lako na watumishi wako kutukanwa!
 
Back
Top Bottom