Wana jf kwa habari nilizopata hivi punde kupitia 88.4FM mtoto wa Sheh Yahya ameongea hewani akisema babake alishamkabidhi mikoba yake yote na ofisi zote zilizopo Tz, Kenya, London na swazland.
So kinachoniuma zaidi wale ndugu zetu wa magamba bado wanalo kimbilio lao la kuizindika nchi. Jamani Mungu utusaidie tujikomboe kutoka kwenye hizi kamba
RIP Sheh Yahya Husein
So kinachoniuma zaidi wale ndugu zetu wa magamba bado wanalo kimbilio lao la kuizindika nchi. Jamani Mungu utusaidie tujikomboe kutoka kwenye hizi kamba
RIP Sheh Yahya Husein