JK ana BIFU na Mwalimu Nyerere Foundation?

Hakuna sababu yeyote ya msingi kwanini Mwalimu Nyerere foundation iwe na ukata; nahisi kuna tatizo katika utendaji wa taasisi hii kwani inaendeshwa kama vile ya kifamiliana ndio maana haishamiri kama vile watu wengi walivyotegemea. Mandela foundation inaendeshwa na professionals walioajiriwa kwa uwezo wao na wale waliofanya kazi na mzee Madiba wao sio watendaji bali wako kwenye board ya foundation; hivyo basi kila kitu kinatekelezwa kiutaalam unlike the Mwalimu foundation where Butiku by virtue of being a relative wa Mwalimu amejiweka kuwa mtendaji mkuu. Pia swala la fedha kutotumika vyema wakati foundation inasimamia mgogoro wa Burundi ilileta credibility problem kwa foundation!
Bulesi,
Tatizo la taasisi ya Mwalimu limeanza enzi za utawala wa Mkapa. Sababu zenyewe sizijui lakini nilisikia minong'ono kuwa Mkapa alikuwa amedhamiria kufuta legacy ya Nyerere. Kama nilivyosema ni minong'ono. Wachangiaji wakubwa awali wa taasisi hiyo walikuwa Mandela na Museveni. Butiku alipanga kufanya fundraising nchi nzima baada ya Salim kuchukua uongozi lakini Mpaka akaipiga stop mipango hiyo akidhania ni njama za kumkampeinia Salim. Ilifikia wakati Mkapa alimpigia simu Museveni asimpe Butiku hela za foundation kwa sababu eti Butiku anazitumia vibaya...talk about nyani haoni kundule... Eniwei Mwungana angependa kuona kuna uongozi mpya katika taasisi hiyo kwa kuzingatia kwamba wote Salim na Butiku are over 70. Kagame na Museveni wameshaahidi kutoa msaada wa kuiendesha. So it remains to be seen. Taasisi hiyo ikipangwa vizuri inaweza kuwa chombo kizuri sana cha kusaidia katika utatuzi wa migogoro barani Afrika.
 
akili ni nywele; kila mtu anazake!

Sasa George Washington ana majengo mangapi ambayo yanaitwa kwa jina lake? Martin Luther King ana barabara ngapi, na maeneo mangapi yanayotajwa kwa ukumbusho wa jina lake? Hivi Mandela anakumbukwa vipi katika miundo mbinu mbalimbali huko SA?



well spoken mwanakijiji....pi jk ....ana tofauti ya kimtazaamo na viongozi kama salim,warioba,mongela na butiku..nadhani pia yupo mzee annur kassam.....na mtndaji asiye rasmi ambaye kwa karibuni amesaidia sana kuichangia taasisi hiyo kama mzee sabodo.

idea ya bulasi ni nzuri kuwa ...hawa watendaji waliofanya kazi na mwalimu wabakie kwenye nafasi za kisiasa ndani ya taasisi...kama chairman na trustees...ni wakati muafaka sasa ..TAASISI ITANGAZE NAFASI YA KAZI KIMATAIFA YA MKURUGENZI WA TAASISI...au iombe marafiki wa mwalimu wa nje watume mtu anaweza kuwa toka USA,CUBA,VENEZUELA au KOKOTE..ni vema wakaajiri watu wa mataifa mbali mbali ....na kuwachanganya na wasomi wa hapa....nasema hivyo kwa kuwa ni vema kuipa taasisi sura ya kimataifa kama wazo la awali la mwalimu.[nadhani ni bora mzee butiku ambaye ..is worthy be in retirement aone sasa ni wakati wa kumpa nafasi ya ukurugenzi mtu active na yeye aungane na kina trustees wengine]...

Taasisi ya mandela imefanikiwa kwa kuifanya iwe ya kidunia ...na ni sehemu ya utalii wa afrika ya kusini...celebrities wanajipeleka wenyewe kuchangia ....nadhani pia ni fursa kwetu.....kwani taasisi ikiwa na watu wabunifu na ikishirikiana na serikali hasa wizara ya utalii wanaweza kuja na mwalimu tour package ...ambayo mataifa kama marekani ,urusi,china ,na mataifa ya mrengo wa kijamaa kama ya venezuela,bolivia ,cuba...kunaweza kuwa na watu wengi ambao wanaweza kutaka kutembelea Tanzania kwa nia ya kuona ...shule aliyofundisha ,nyumba alizoishi,machapisho yake ...na kusafiri hadi alipozikwa ...ambako wanaweza kumalizia kwa kufanya jambo lolote la kukumbukwa ...na ikawekwa bustani kubwa tulivu ambayo inamruhusu hujaji wa aina hiyo kufanya reflections...nadhani you know how its done kwa wale wenzangu mliokwisha tembelea maeneo ya wenzetu ya aina hiyo.....kila fursa tuitumie ...wenzetu kenya wamekuja na obama tour package ....kwa nini sisi tusije na mwalimu nyerere tour package...but this needs sharp mind to get them right in track.....na lazima kuwe na uungwaji mkono wa serikali na washika dau wengine...hayawezi kufanikiwa kama tunaendeleza bifu za 2005!!
 
Bulesi,
Tatizo la taasisi ya Mwalimu limeanza enzi za utawala wa Mkapa. Sababu zenyewe sizijui lakini nilisikia minong'ono kuwa Mkapa alikuwa amedhamiria kufuta legacy ya Nyerere. Kama nilivyosema ni minong'ono. Wachangiaji wakubwa awali wa taasisi hiyo walikuwa Mandela na Museveni. Butiku alipanga kufanya fundraising nchi nzima baada ya Salim kuchukua uongozi lakini Mpaka akaipiga stop mipango hiyo akidhania ni njama za kumkampeinia Salim. Ilifikia wakati Mkapa alimpigia simu Museveni asimpe Butiku hela za foundation kwa sababu eti Butiku anazitumia vibaya...talk about nyani haoni kundule... Eniwei Mwungana angependa kuona kuna uongozi mpya katika taasisi hiyo kwa kuzingatia kwamba wote Salim na Butiku are over 70. Kagame na Museveni wameshaahidi kutoa msaada wa kuiendesha. So it remains to be seen. Taasisi hiyo ikipangwa vizuri inaweza kuwa chombo kizuri sana cha kusaidia katika utatuzi wa migogoro barani Afrika.


mkapa mwanzoni alikuwa mchangiaji mzuri tu wa taasisi...na hata yeye ndiye aliyewapa vile viwanja viwili...amabako kunajengwa gorofa kubwa la taasisi....na hata michango ya awali ya ujenzi ule alishiriki kwa bega...jasusi siasa za uchaguzi zimechangia kudumaza taasisi...unaloongelea nililisikia ...lakini niliambiwa lilikuwa na influence ya SUMAYE..ambaye alijenga jungu kwa mkapa akiofia kuwa lengo la ile fundrising ilikuwa kumtafutia salim pesa za kamapeni.

lakini mgogoro ulioendelea baada ya hapo kati ya mkapa na taasisi ulipelekea ile barua ya BUTIKU kwa mkapa ...baada ya mkapa ..madonda pia yameendelea kwa kikwete kuona kuwa taasisi imejaa watu wasiomuunga mkono na ambao walimpinga mwaka 2005.

sioni ubaya wa watu kama salim ,butiku,bomani,warioba,kassam,mongela etc ..kuendelea kuwako pale...,ila lazima wabaki trustees ....tu.Nafasi ya mtendaji mkuu anayoishika mzee butiku ni vema ikapewa mtu mwenye uzoefu wa kisasa wa kuendesha taaisisi za kimataifa..preferebly atoke nje....na hata siku moja nafasi ya utendaji kwenye taasisi asipewe mwanasiasa..bali mtaalamu.

NAAMINI hata baada ya wanbasiasa waliopo kwenye bodi hii kuondoka ...watakaokuja hata kama hawakufanya kazi na mwalimu waataendelea kuwa ni wanasiasa wenye kuamini mawazo ya mwalimu kwa maneno na vitendo na ku excel kwenye utendaji ndani na nje ya nchi...na watendaji wabakie wataalamu wa ndani na nje ya nchi!!
 
Tatizo ni kuwa hawa watawala wetu wa sasa hawajui wa react vipi na legacy ya Nyerere. Wanaogopa kuonekana wanamheshimu na kumuunga mkono na hasa wanachoogopa ni zile fikra zake. Kwa vile wameziasi fikra hizo ndio maana sasa wameamua kubakia kutembelea kaburi lake na kunyanyua picha zake juu!

Lakini ukiwauliza juu ya fikra za Mwalimu wamebakia kusema "umoja, upendo, mshikamano na utulivu"... they have reduced Nyerere to a moral icon. Mwalimu was a philosopher and an ideologist. Kinachowatisha ni kuwa fikra zake zikitukuzwa tena hasa zile zilizo sahihi basi kutawala kwao kutakuwa kugumu kweli. Katika "Unleashed-2" nitalionesha hili kwa kina kidogo na kwanini ninawakosoa "wafuasi" wa Nyerere kama vile ninavyoona watawala wakiwa ni "waasi" wa Nyerere!
 
fikra zake zikitukuzwa tena hasa zile zilizo sahihi basi kutawala kwao kutakuwa kugumu kweli. Katika "Unleashed-2" nitalionesha hili kwa kina kidogo na kwanini ninawakosoa "wafuasi" wa Nyerere kama vile ninavyoona watawala wakiwa ni "waasi" wa Nyerere!

.....especially viongozi wanapokuwa wanafiki...na rais anapokuwa muoga..kuogopa mafisadi,hakuna kosa kubwa alilofanya kikwete kama kushindwa kusimama na ballls zake ...wakati walipoenda kufsanya kikao cha kamati kuu juu ya kaburi la mwalimu...n kushindwa kuamua lolote la maana.....

...nimetafakari nikaona kweli siku hizi serikali inaogopa legacy yeyote inayosisitiza uadilifu ..kwa kuwa uadilifu hakuna ni kweli watu wakiyajuwa sana mawazo ya mwalimu basi ....ccm haiwezi kusimama na kusema inayaishi mawazo hayo.......utafikiri ni chama kipya kabisa mbali ya kile cha wakulima na wafanyakazi!!!
 
Mkulu PM, heshima mbele sana:-

- Maneno yako mengi ni msumari isipokuwa tu conclusion yako iko hewani, Nyerere Foundation baada ya kifo cha Mwalimu, walijiingiza kwenye mambo mengi sana ambayo yalikuwa ni kinyume na matakwa ya watawala na sometimes wameenda mbali hata kuhusika na uvunjaji wa sheria as opposed na mwenendo wa taaisisi hiyo chini ya Mwalimu.

- Kuna maovu mengi kule hayasemwi hadharani ambayo Butiku, aliyafanya akidhani kwamba he is untouchable na kuwaudhi sana wapambe wa Mkapa mengi ni aibu hata kuyasema hapa, ndipo kwa mara ya kwanza Mkapa akazuia mgawo wa Shillingi Millioni 300 ambazo serikali ilikuwa ikiipatia Foundation ile annually, na ilikuwa hasa baada ya Butiku kupeleka sherehe za Mwalimu kwenye bunge la Uganda bila kuiarifu serikali ya Mkapa, kitu ambacho kilitafsiriwa kama ni sometype of a blackmail's set up kwa Mkapa na Butiku alijipiga kisu cha mwisho pale alipoanzisha ziara za kutembelea mikoa kusikiliza shida za wananchi, lakini infact akiwa kwenye kampeni za Salim na urais.

- Mkapa kwa makusudi akamtuma Warioba kule Foundation kuangalia mahesabu, ilikuwa aibu sana jinsi hela za wananchi zilivyoliwa hovyo bila uwajibikaji, yakazuka magomvi mazito sana mpaka Warioba akaombwa aondoke haraka sana, wakulaumiwa sio serikali ila ni Butiku na kundi lake kule Foundation kwa ubadhirifu mkubwa sana, infact waliwtakiwa wawe Segerea ila kwa vile ni bongo wapo nje na wanailaumu sana serikali on ufisadi ule ule kama wao kule Foundation na cha ajabu wanapata na wananchi wa kuwa-support, only in Tanzania!

Respect.

Field Marshall Es!
 
Mkulu PM, heshima mbele sana:-

- Maneno yako mengi ni msumari isipokuwa tu conclusion yako iko hewani, Nyerere Foundation baada ya kifo cha Mwalimu, walijiingiza kwenye mambo mengi sana ambayo yalikuwa ni kinyume na matakwa ya watawala na sometimes wameenda mbali hata kuhusika na uvunjaji wa sheria as opposed na mwenendo wa taaisisi hiyo chini ya Mwalimu.

- Kuna maovu mengi kule hayasemwi hadharani ambayo Butiku, aliyafanya akidhani kwamba he is untouchable na kuwaudhi sana wapambe wa Mkapa mengi ni aibu hata kuyasema hapa, ndipo kwa mara ya kwanza Mkapa akazuia mgawo wa Shillingi Millioni 300 ambazo serikali ilikuwa ikiipatia Foundation ile annually, na ilikuwa hasa baada ya Butiku kupeleka sherehe za Mwalimu kwenye bunge la Uganda bila kuiarifu serikali ya Mkapa, kitu ambacho kilitafsiriwa kama ni sometype of a blackmail's set up kwa Mkapa na Butiku alijipiga kisu cha mwisho pale alipoanzisha ziara za kutembelea mikoa kusikiliza shida za wananchi, lakini infact akiwa kwenye kampeni za Salim na urais.

- Mkapa kwa makusudi akamtuma Warioba kule Foundation kuangalia mahesabu, ilikuwa aibu sana jinsi hela za wananchi zilivyoliwa hovyo bila uwajibikaji, yakazuka magomvi mazito sana mpaka Warioba akaombwa aondoke haraka sana, wakulaumiwa sio serikali ila ni Butiku na kundi lake kule Foundation kwa ubadhirifu mkubwa sana, infact waliwtakiwa wawe Segerea ila kwa vile ni bongo wapo nje na wanailaumu sana serikali on ufisadi ule ule kama wao kule Foundation na cha ajabu wanapata na wananchi wa kuwa-support, only in Tanzania!

Respect.

Field Marshall Es!

thanks mkuu respect..i know of that bizzere mkuu ndio maana nikasema kuwa butiku needs be replaces as the CEO...Need get away with day to day activities....ndio maana pia sioni kama kuna haja ya kuwa na hasira na hao TRUSTEES....lakini proffessional managing director[or call it names] is needed...

kuna mengi mkuu najua unajuwa zaidi..ikiwemo...mambo ya maungoni ...na baadhi ya watumishi pale.

above all jk needs to help foundation..haikuwa sawa kuwa sideline!!
 
1. Nyerere is overrated inside Tanzania and underrated outside Tanzania.
2.Nyerere mwenyewe hakuwa mtaka makuu na asingetaka a big production, huyu ndiye mtu aliyeulizwa kwa nini anaishi katika nyumba ndogo na kujibu "nitake nyumba kubwa kwani mimintembo?"
3. Isitoshe, kumuenzi kweli Nyerere kunatakiwa kuwa kwa kuenzi vitendo na ideas zake, siyo show business ya big production ya anniversary ya kifo chake.
4.Kikwete ingawa hawezi kuja out in the open kumsaga Nyerere, ukweli utabaki kuwa Nyerere alimpiga vijembe mwaka 95 kwa kusema "kama unamtaka mtu kwa sababu ya uzuri wa sura yake kanywe naye chai".Hii itakuwa imemuuma.Let's face it Kikwete was never a Nyerere favorite.
 
1. Nyerere is overrated inside Tanzania and underrated outside Tanzania.
2.Nyerere mwenyewe hakuwa mtaka makuu na asingetaka a big production, huyu ndiye mtu aliyeulizwa kwa nini anaishi katika nyumba ndogo na kujibu "nitake nyumba kubwa kwani mimintembo?"
3. Isitoshe, kumuenzi kweli Nyerere kunatakiwa kuwa kwa kuenzi vitendo na ideas zake, siyo show business ya big production ya anniversary ya kifo chake.
4.Kikwete ingawa hawezi kuja out in the open kumsaga Nyerere, ukweli utabaki kuwa Nyerere alimpiga vijembe mwaka 95 kwa kusema "kama unamtaka mtu kwa sababu ya uzuri wa sura yake kanywe naye chai".Hii itakuwa imemuuma.Let's face it Kikwete was never a Nyerere favorite.

...na kwa kuwa jk ni mtu wa visasi ..hawezi kumsamehe nyerere kwa hilo...bado anaamini kuwa mwaka 1995...alimshinda mkapa na ni nyerere ndiye aliyemkata ....
 
Nahisi viongozi wa MNF hawataki taasisi hii iwe ya kisiasa ndio maana hawaonekani kama "TAASISI" ktk mambo mengi au wanatengwa kwa chuki za kisiasa kufuatia mitandao iliyo anzishwa kueleke uteuzi wa mgombea urais 2005.
Pamoja na ukata wao wajipambanue wao ni nani na wanafanya nini.
HIVI ILE BAHATI NASIBU ILIYOBUNIWA NA MZEE SABODO ILIISHIA WAPI?
 
Nahisi viongozi wa MNF hawataki taasisi hii iwe ya kisiasa ndio maana hawaonekani kama "TAASISI" ktk mambo mengi au wanatengwa kwa chuki za kisiasa kufuatia mitandao iliyo anzishwa kueleke uteuzi wa mgombea urais 2005.
Pamoja na ukata wao wajipambanue wao ni nani na wanafanya nini.
HIVI ILE BAHATI NASIBU ILIYOBUNIWA NA MZEE SABODO ILIISHIA WAPI?

..aliachiwa mzee sabodo na MNF .hawakupewa support.....zawadi alikuwa zote anatoa yeye ...
 
1. Nyerere is overrated inside Tanzania and underrated outside Tanzania.QUOTE]

Pundit acha kuudanganya umma kama Zakumi. Which outside are you talking about? Au unadhani outside is the West tu? Vigezo gani unatumia?

Hebu soma hizi interview za Nyerere na Mmisri na Mhispania uone jinsi walivyokuwa wanamkubali huko nje: http://allafrica.com/stories/200910170029.html

Companero:

Hivi huwezi kujibu hoja bila kutaja handler yangu?
icon8.gif
Hivi ndivyo watanzania mlivyofiliska kimawazo. Na mfano mkubwa ni JF. Thread nyingi ikiwemo hii zipo personal na sio kwenye issue.

Hivi mnashindwa nini kukata issues?
 
It's insane to argue on what JK should support or not support.
Dude's got his own interests and so do we all when it comes to ''charity foundations''.No wonder do we make big deals off of a kind man offering a swine for a present,what group is acknowledged during human right celebrations,what lady to nominate for the successful women awards...what the f*** gentle people?
 
..binafsi napendekeza ianzishwe Julius Nyerere Presidential Library.

..halafu majukumu ya MNF yawe-scalled down na kubakia na shughuli ya kuendesha na kuratibu maktaba hiyo.

..wakina Warioba,Butiku,... wana shughuli zao binafsi za kujikimu kiasi kwamba ni vigumu kuwa na muda na nguvu za kutosha kushughulikia masuala ya MNF.

NB:

..napendekeza maktaba hiyo ijengwe ndani ya Chuo Kikuu cha DSM ambacho kilianzishwa wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere.
 
..binafsi napendekeza ianzishwe Julius Nyerere Presidential Library.

..halafu majukumu ya MNF yawe-scalled down na kubakia na shughuli ya kuendesha na kuratibu maktaba hiyo.

..wakina Warioba,Butiku,... wana shughuli zao binafsi za kujikimu kiasi kwamba ni vigumu kuwa na muda na nguvu za kutosha kushughulikia masuala ya MNF.

NB:

..napendekeza maktaba hiyo ijengwe ndani ya Chuo Kikuu cha DSM ambacho kilianzishwa wakati wa utawala wa Mwalimu Nyerere.

Mawazo mazuri sana haya mkuu,laiti ningekuwa na uwezo ningeyafanyia kazi haraka iwezekanavyo
 
Ameanziwa sana mpaka na wasiwasi si muda mrefu wajinga watamfanya mungu (mungu aepushe)
1. Uwanja wa ndege unaitwa kwa jina lake
2. Maonyesho ya sabasaba kwa jina lake
3. Shule, barabara, etc
need more...mbio za mwenge kila mwaka...duuu
need more..foundation ipewe ..priority na serikali duu...
need more...mchakato wa wa kuwa st. uko ukingoni..duu..
By the way what good he did for a country:
a) Blah blah za umoja, kama vile alikuwa mwenyewe Akh!
Failure is always hero for our people poleni sana...nashukuru kama JK ataachana na hili Libabu nuksi...

Huyu nae bila shaka anabifu na Babu Nyerere....khaa!!!!
 
Kikwete hawezi kuwa na bifu na hiyo taasisi ila mwenyekiti wake ofcoz lazima itakuwa haziivi...si ndo yule bwana aliyekula nae sahani moja pale Chimwaga. Nasikia Mkuru ni mtu wa VISASI sana yaani ukiingia anga zake afu ukajifanya unajua kushinda yeye basi MJOMBA unaelekea kulala njaa ama kusahaulika....maskini KATIBU MKUUUUU.

NAJUTAAAAA KUMFAHAMU
 
Back
Top Bottom