Rais Kikwete amteua Zitto kamati ya Madini

Sasa huyu Mwakyembe atajigawaje???
It suprises me how the so called "system" works asubuhi Mh JK anamteua Mwakyembe kuwa kwenye kamati....jioni Mh Spika anamteua Mwakyembe kuwa kwenye kamayi nyingine....hakuna mawasiliano?????????????? I mean ya walioko kwenye hiyo "system"!


Mama Lao,
Hawa watu wanashangaza sana.Na yeye huyo aliyeteuliwa hawezi kusema tayari ana mzigo mwingine.Utadhani yupo peke yake mwenye uwezo.

Nashukuru tu hajamteua Mudhihiri Mudhihiri maanake siku ile Bungeni alikua anaongea kama vile ni mtu makini sana kwenye lile suala.

Usishangae kesho au leo jioni kaongeza mjumbe mwingine Adam Malima (Kidding)
 
Kutoka kwenye kumbukumbu za BUNGE:

Waziri wa Biashara na Masoko Mheshimiwa Nazir Karamagi, ameomba
niwatambue wageni wake, kwanza ni Bwana Peter Machunde Mkurugenzi wa Shirika linaitwa Vatex Financial Services, Bwana Deusdedit Dancan, ambaye yeye ni mwanasheria kutoka FK Law Chambers wanafanyakazi kwa karibu na ile Vatex. Yupo pia Ndugu Omary Abdallah Kabaka, kutoka kutoka Jimbo la Bukoba Vijijini huyu ni
mpiga kura wake wale pale. Inasemekana huyu ni mmoja wa watu mashuhuri sana anabeba kura kama 2,000. (Makofi/ Kicheko)

Source:MKUTANO WA NNE WA BUNGE- Kikao cha Thelathini na Nane – Tarehe 7 Agosti, 2006

[media]http://www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/HS-4-38-2006.pdf[/media]
 
Asante Mnyika,

Natumaini kuwa CHADEMA kama chama mtakaa na kuhakikisha kuwa maslahi ya wananchi yanalindwa hapa kwa nguvu zote kama ambavyo mmekuwa mnafanya so far.

Kama mkizidiwa nguvu na spin master Mwakyembe na huyo mama wa IPTL - sijui nani vile! elewa kuwa hamtapata ize ride hapa na kutoka kwa wananchi vilevile. KUMBUKA YALIYOMPATA LAMWAI KWENYE ILE KAMATI SIJUI TUME YA KUCHUNGUZA NINI VILE miaka ile akiwa bado mpinzani!

Nitakutumia hoja zangu kama utahitaji maana naona Kikwete hataki kabisa hoja za wananchi ingawa anadai kuwa website kazi yake ndiyo hiyo - na baadhi ya mambo muhimu yoyote utakayohitaji.


Asante.


Dada

Nitumie kwenye mnyika@yahoo.com. Unganisha na uchambuzi na wengine kadiri utavyoona inafaa.

JJ
 
Kutoka kwenye kumbukumbu za BUNGE:

Waziri wa Biashara na Masoko Mheshimiwa Nazir Karamagi, ameomba
niwatambue wageni wake, kwanza ni Bwana Peter Machunde Mkurugenzi wa Shirika linaitwa Vatex Financial Services, Bwana Deusdedit Dancan, ambaye yeye ni mwanasheria kutoka FK Law Chambers wanafanyakazi kwa karibu na ile Vatex. Yupo pia Ndugu Omary Abdallah Kabaka, kutoka kutoka Jimbo la Bukoba Vijijini huyu ni
mpiga kura wake wale pale. Inasemekana huyu ni mmoja wa watu mashuhuri sana anabeba kura kama 2,000. (Makofi/ Kicheko)

Source:MKUTANO WA NNE WA BUNGE- Kikao cha Thelathini na Nane – Tarehe 7 Agosti, 2006

[media]http://www.parliament.go.tz/Polis/PAMS/Docs/HS-4-38-2006.pdf[/media]
Huyu Bw. Peter Machunde ni yule aliyemo kwenye kamati? Ni vizuri kama ataweka wazi uhusiano wake na Mh. Waziri. Kama Mh. Waziri (au Buzwagi) ni mmoja wa watu watakaochunguzwa na tume, basi huyu bwana itabidi ajitoe kutokana na uwezekano wa kuwa na conflict of interest.
 
Huyu Bw. Peter Machunde ni yule aliyemo kwenye kamati? Ni vizuri kama ataweka wazi uhusiano wake na Mh. Waziri. Kama Mh. Waziri (au Buzwagi) ni mmoja wa watu watakaochunguzwa na tume, basi huyu bwana itabidi ajitoe kutokana na uwezekano wa kuwa na conflict of interest.

Mambo ya kulamba dume hayo,Wizi tu..Unajua Mie simpendi Muumngwana kabisa,anatusfanya sisi wapumbavu,sasa sijui ni yeye au katibu Kiongozi na watendaji wengine...ila hao wote walikuwa foreign na niwa moja..Mie serious nataka kuongea na JK aniambie ataifanyia nini nchi yangu,Nina uchungu sana,Pesa inaliwa tu na hakuna cha maana,iko wapi kamati ya kuchungua mauaji ya bulyankhulu?iko wapi kamati ya kuangalia mishahara ya serikali,imefikia wapi???

i beta be born in another planet,ila kwanini tusiungane??

sitaipigia tena kula CCM.this is bulshit and i kant accept anymore,Machunde kaajiriwa na Karamagi,unategemea atamchunguza KAramagi??

Nitaipigia kura Jamboforums,Tumsimamishe nani??Mzee FES au Mwanakijiji,au Mwafrika wa kike??au augustine Mosha...
 
Mambo ya kulamba dume hayo,Wizi tu..Unajua Mie simpendi Muumngwana kabisa,anatusfanya sisi wapumbavu,sasa sijui ni yeye au katibu Kiongozi na watendaji wengine...ila hao wote walikuwa foreign na niwa moja..Mie serious nataka kuongea na JK aniambie ataifanyia nini nchi yangu,Nina uchungu sana,Pesa inaliwa tu na hakuna cha maana,iko wapi kamati ya kuchungua mauaji ya bulyankhulu?iko wapi kamati ya kuangalia mishahara ya serikali,imefikia wapi???

i beta be born in another planet,ila kwanini tusiungane??

sitaipigia tena kula CCM.this is bulshit and i kant accept anymore,Machunde kaajiriwa na Karamagi,unategemea atamchunguza KAramagi??

Nitaipigia kura Jamboforums,Tumsimamishe nani??Mzee FES au Mwanakijiji,au Mwafrika wa kike??au augustine Mosha...
Halafu anatokea kiumbe mmoja anaiteka hoja na kipeleka lumumba!!!!!
Pambaufu kabisa!!!!
 
I must say that Wananchi mwakimbilia kutoa sifa tele, na kuona kana kwamba sasa kuna usuluhishi.

Naomba tupitie wajumbe hawa wa kamati na kujua kama kweli wataweza kuifanya kazi hii kwa umakini.

Mimi nitaanza na mwakilishi kutoka wizara ya Sheria. Maria Kejo ambaye ametajwa ndio mkuu wa ufuatiliaji upatanishi wa mikataba, ndiye yule yule alituletea IPTL. Alikuwa akifahamika kama Mary Ndosi au Maria Ndosi.

Mama Ndosi-Kejo, ameshatuhumiwa kuwa mshirika wa kusaini mikataba bomu kupitia ofisi ya Waziri wa sheria akishirikiana na aliyekuwa waziri wa sheria Andrew Chenge. Aidha, anatuhumiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Lowassa (refer to posings from BCS Times on IPTL).

Lingine, ni mahusiano yake na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Ulinzi ambao walituingiza mkenge katika mkataba wa Vhalambia. Yeye kama mwanasheria alihusika na kusaini mikataba ambayo Serikali imepotea fedha.

Sasa kama yeye ndiye mkuu wa Mikataba ya Kimataifa, tumuulize alishauri vipi Serikali wakati Mkataba wa RDC, Buzwagi, Norway Oil, na mingine ambayo ilipitia ofisini kwake katika miaka karibu mitatu au zaidi ambapo yeye ndiye mkuu wa kitengo?

Jee tunahakika kuwa maslahi ya Taifa yatalindwa ikiwa mwakilishi wa Serikali aliyebobea katika Mikataba ya Kimataifa ana gunia kubwa la tuhuma?
Puppets wa wazungu
 
Back
Top Bottom