Mkuu Haki.tupu,
nakubaliana na maoni yako yote isipokuwa hili la kusema ''Ila unapomteua mtu asiyejulikana lazima watu wajiulize na ni haki kujiuliza bila mipaka!''.Kwani wanaostahili kuteuliwa ni wanaojulikana tu? nikiteuliwa mimi Kinyamana utaquestion pia kisa sijulikani? Nafikiri hoja isiwe kujulikana kwasababu kuna wazalendo wazuri kwa nchi hii na wana CV nzuri lakini hawajulikani hivyo haiwezi kunifanya nisipewe uongozi.
nakubaliana na maoni yako yote isipokuwa hili la kusema ''Ila unapomteua mtu asiyejulikana lazima watu wajiulize na ni haki kujiuliza bila mipaka!''.Kwani wanaostahili kuteuliwa ni wanaojulikana tu? nikiteuliwa mimi Kinyamana utaquestion pia kisa sijulikani? Nafikiri hoja isiwe kujulikana kwasababu kuna wazalendo wazuri kwa nchi hii na wana CV nzuri lakini hawajulikani hivyo haiwezi kunifanya nisipewe uongozi.