VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Katibu Mkuu Kiongozi,Mh.Balozi Ombeni Sefue ameueleza umma wa watanzania kuwa eti Rais Jakaya Mrisho Halfan Kikwete anaendelea/ameshalisuka Baraza makini la Mawaziri litakalokonga nyoyo za watanzania.Baraza,kwa mujibu wa Balozi Sefue,litakuwa na watu wasafi na makini.Rais amewatoa wapi wasafi hao? Mara mbili zilizopita hawakuwepo? Sawa,tunasubiri 'surprise'...