JK ameanza kufunga baada ya kuukwaa urais?

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234

Wana JF, ma hasa wale Waisilamu napenda kuwafahamisha kwamba kuna uwezekano mkubwa JK hakuwa ana mazoea ya kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani -- ila ameanza kutimiza nguzo hiyo miaka hii alipoukwaa Urais. Rafiki yangu mmoja aliyekuwa akifanya kazi Wizara ya Fedha wakati JK akiwa Waziri wa Wizara hiyo mapema miaka ya 90 amenieleza alikuwa hafungi.

Hii inaweza kutoa mwanga kwa kiasi kikubwa matatizo yake ya sasa ya kuangukaanguka kunakosemekana kinatokana na kuzidiwa na swaumu.

Halafu pili, hivi katika mafundisho ya kufunga inaruhusiwa kwa Muisilamu kuwatangazia umma kwamba yeye amefungulia? Ndivyo alivyotangaza JK pale Jangwani baada ya kupewa glucose na kurudi jukwaani alisema "Nimefungulia"

Kanuni ya kufunga inasema kwamba kama mtu amefungulia kwa sababu yoyote ile (yaani pamoja na agizo la daktari) haifai kutangaza. Unachotakiwa ni kwamba wewe kula tu kimya kimya na unatakiwa ulipe siku hizo ulizokula baada ya Ramadhani.
 
jamani tunazunguka sana kutaka kujua sababu za JK kuanguka anguka...kwa kifupi ni kuwa hana afya na ni goigoi sana.....
 
Wana JF, ma hasa wale Waisilamu napenda kuwafahamisha kwamba kuna uwezekano mkubwa JK hakuwa ana mazoea ya kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani -- ila ameanza kutimiza nguzo hiyo miaka hii alipoukwaa Urais. Rafiki yangu mmoja aliyekuwa akifanya kazi Wizara ya Fedha wakati JK akiwa Waziri wa Wizara hiyo mapema miaka ya 90 amenieleza alikuwa hafungi.

Hii inaweza kutoa mwanga kwa kiasi kikubwa matatizo yake ya sasa ya kuangukaanguka kunakosemekana kinatokana na kuzidiwa na swaumu.

Halafu pili, hivi katika mafundisho ya kufunga inaruhusiwa kwa Muisilamu kuwatangazia umma kwamba yeye amefungulia? Ndivyo alivyotangaza JK pale Jangwani baada ya kupewa glucose na kurudi jukwaani alisema "Nimefungulia"
.....

Mkuu

Acha ku-"beat around the bush": JK ni mgonjwa - kufunga ramadan inatumika kama kisingizio tu


tangia mwaka jana: Afya ya Kikwete yazua mjadala | Gazeti la MwanaHalisi
 
Mkuu

Acha ku-"beat around the bush": JK ni mgonjwa - kufunga ramadan inatumika kama kisingizio tu


tangia mwaka jana: Afya ya Kikwete yazua mjadala | Gazeti la MwanaHalisi

Nakubaliana na wewe kuwa JK afya yake ni mgogoro, sijasikia marais waliopita kuanguka, Je Mwinyi alikuwa hafungiiiii.Nina wasiwasi atakuwa na afya ya kuungaunga kama ya yule rais wa nigeria aliyevuta hivi karibuni.Tusidanganyane wajameni jamaa siye.
 

Wana JF, ma hasa wale Waisilamu napenda kuwafahamisha kwamba kuna uwezekano mkubwa JK hakuwa ana mazoea ya kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani -- ila ameanza kutimiza nguzo hiyo miaka hii alipoukwaa Urais. Rafiki yangu mmoja aliyekuwa akifanya kazi Wizara ya Fedha wakati JK akiwa Waziri wa Wizara hiyo mapema miaka ya 90 amenieleza alikuwa hafungi.

Hii inaweza kutoa mwanga kwa kiasi kikubwa matatizo yake ya sasa ya kuangukaanguka kunakosemekana kinatokana na kuzidiwa na swaumu.

Halafu pili, hivi katika mafundisho ya kufunga inaruhusiwa kwa Muisilamu kuwatangazia umma kwamba yeye amefungulia? Ndivyo alivyotangaza JK pale Jangwani baada ya kupewa glucose na kurudi jukwaani alisema "Nimefungulia"

Kanuni ya kufunga inasema kwamba kama mtu amefungulia kwa sababu yoyote ile (yaani pamoja na agizo la daktari) haifai kutangaza. Unachotakiwa ni kwamba wewe kula tu kimya kimya na unatakiwa ulipe siku hizo ulizokula baada ya Ramadhani.

Lipumba, Mtemvu, Seif Shariff, Dr bilal, shein, duni, Makobe ya mchana?mbona wao hatujasikia wakianguka? samahanini wana CHADEMA sijaminclude na Zitto sio kusudio lakini ni vigumu sana kujua kama kuna wale jamii za kiislamu ndani ya chama chenu hehehehehehe
 
Nakubaliana na wewe kuwa Zitto si Muislaam. Na sababu kubwa hasa ni kuwa jamaa huwa anaonekana akiyarudi mangoma kinoma.

Dr. Shein na kundi lake ndiyo Waislaam haswaa na dini inawaruhusu kucheza Disco......

JK-21.jpg


Juma Kapuya yeye hadi ana ACUDO na hapa akijirusha roho Mwana wane...........
4282090.jpg


Mbunge wako Mo wa Singida hadi naogopa kuweka maana watoto hawajalala .................
 
Heri Zuma yeye kajitangaza kuwa ni Mngoni (Zullu) na anatunza mila yake..........

Sisi haifahamiki kama ni Waislaam au Wakristo au Wapagani. Al-Qaid wakiona hii kitu, unaamini watashangilia?

_DSC0512.JPG
 
Tusichanganye dini na siasa, Suala la Kikwete kufunga ni la kidini zaidi, kwa hiyo sioni uhusiano wa kufunga na urais wa Kikwete. Pole sana.
 
Lipumba, Mtemvu, Seif Shariff, Dr bilal, shein, duni, Makobe ya mchana?mbona wao hatujasikia wakianguka? samahanini wana CHADEMA sijaminclude na Zitto sio kusudio lakini ni vigumu sana kujua kama kuna wale jamii za kiislamu ndani ya chama chenu hehehehehehe
You make me happy man
 
Tusichanganye dini na siasa, Suala la Kikwete kufunga ni la kidini zaidi, kwa hiyo sioni uhusiano wa kufunga na urais wa Kikwete. Pole sana.

asante sana kwa mada ya leo? kwa upande wangu mie naona hakuna huusiano kati ya swala la imani na siasa, imani ni itikadi ya mtu na siasa ni mtizamo na maono ya mtu ivyo basi kama watu wenye hekima na busara unaweza kukaa chini na kutafakari juu ya jambo ili na swala la kuatangaza kama amefungulia sio swala la kulivalai njuka kwani kuna ubaya gani mtu akisema kama amefungulia kila mtu akawa aware? siye watu wazima tukae chini tutuafakali tupo wapai tuanaenda wapi na sisi kama watanzania tunantakiwa tufanaye nini kwa maslahi la maenndeleo ya taifa letu ni hayo tu kwa leo , asanteni na nawapenda wote.
 
Lipumba, Mtemvu, Seif Shariff, Dr bilal, shein, duni, Makobe ya mchana?mbona wao hatujasikia wakianguka? samahanini wana CHADEMA sijaminclude na Zitto sio kusudio lakini ni vigumu sana kujua kama kuna wale jamii za kiislamu ndani ya chama chenu hehehehehehe

Yumo pia Said Arfi, Makamu Mwenyekiti. Katika uongozi wa juu kabisa wa CUF kuna Wakristo wangapi? Wamo Ibrahim Lipumba, Seif Shariff Hamad, Juma Duni Haji, Ismail Jussa, Hamad Rashid Mohammed .....na? Tukumbushane jamani!
 
Tusichanganye dini na siasa, Suala la Kikwete kufunga ni la kidini zaidi, kwa hiyo sioni uhusiano wa kufunga na urais wa Kikwete. Pole sana.

Aliyeleta udini hapa ni Kikwete, Kaanguka kwa sababu zingine kisha yeye anasingizia swaumu. Kama sio udini ni nini hicho?
 
jamani tunazunguka sana kutaka kujua sababu za JK kuanguka anguka...kwa kifupi ni kuwa hana afya na ni goigoi sana.....
He Kigogo acha we! Jamaa ni Luteni Kanali halafu unasema goigoi? tehe tehe tehe!
 
He Kigogo acha we! Jamaa ni Luteni Kanali halafu unasema goigoi? tehe tehe tehe!

Sasa mbona alikimbia jeshi. Inawezekana kabisa alishaanza kuanguka siku nyingi. Hivi kweli kufunga kunaweza kumwangusha mtu??? Kama ni kweli mbona wamachinga kibao wanazurura siku nzima lakini hawaanguki????
 
Back
Top Bottom