The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Mkuu sio haraka hivyo, joto lililopo sasa bado halitoshi kuivisha chakula, utawashangaa saana wapiga kura wa Tanzania pale matokeo ya vituo yatakapoanza kutolewa.
Safari hii Mkwere hana pa kutokea, isipokuwa wizi wa kura kwa msaada wa vyombo vya dola.
Hata wana CCM wenzake (baadhi) wamem-shit.
Huko vijijini kunakoaminika hakuna fikra za mabadiliko, nako kumekucha mwaka huu. Tusubiri wiki mbili zijazo...kitaeleweka.