Nyampedawa
Member
- Feb 15, 2011
- 98
- 13
Wamtake Lema ana nini kuna watu wana upeo mkubwa ndani ya Chadema mtu kama Zitto Kabwe, John Mnyika hawa wanakubali kila sehemu ya Tanzania ukisema wanatakiwa na JK watu wanaweza kukuelewa.
Kwa sababu anakubalika ktk jimbo la uchaguzi la Arusha.