<br /><br />Leo nimeelewa kumbe traffic wanatakiwa wakague waipa wakati wa msimu wa mvua tu. Watanikoma sasa. Kazi tunayo.
Mambo ya rushwa kando.........Uso wa rais unaonyesha amechoka.
Rais wetu ana nini kinamsibu moyoni au mwilini????
hizi porojo dhidi ya rushwa tumechoka kusikia. kwanini wasinyamaze tu.....jamani. aarghh!!
miaka michache ilopita alisema nawafahamu wala rushwa` kwa hiyo waache hizyo tabia,
punde kadai na wauza dawa za kulevya pia nawafahamu....
sasa leo tena porojo eti nitawatoa kafara.....
kesho utasikia
---na majambazi nawafahamu, waache wizi mara moja
---na maharamia nawafahamu.........waache mara moja kuteka meli
---na wana jf nawafahamu....
chukua hatua dhidi ya rushwa mai friend, vita dhidi ya rushwa ni matendo bro.
<br />hizi porojo dhidi ya rushwa tumechoka kusikia. kwanini wasinyamaze tu.....jamani. aarghh!! <br />
miaka michache ilopita alisema <b>nawafahamu wala rushwa</b>` kwa hiyo waache hizyo tabia, <br />
punde kadai na <b>wauza dawa za kulevya pia nawafahamu....</b><br />
sasa leo tena porojo eti <b>nitawatoa kafara...</b>..<br />
kesho utasikia <br />
---na majambazi nawafahamu, waache wizi mara moja<br />
---na maharamia nawafahamu.........waache mara moja kuteka meli<br />
---na wana jf nawafahamu....<br />
<br />
chukua hatua dhidi ya rushwa mai friend, vita dhidi ya rushwa ni matendo bro.