peter tumaini
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 573
- 94
SALAAMS WANABODI!
Napenda kuwafahamisha kuwa tumeanzisha huduma ya kupata vitu mbali mbali bila kuathiri shughuli zako na muda wako.
Huduma unazoweza kupata ni zifuatazo kwa sasa;kusajili biashara yako,kampuni,kupata ofisi eneo lolote unalohitaji Tanzania,kupanga nyumba,kununua nyumba,kununua kiwanja na kuuza na hata vitu mbali mbali,kupata birth certificate,kumtafutia chuo au shule inayostahili.
Baadhi ya huduma gharama zake ziko fixed hivyo utachotoa ni commission kwetu tu kwa makubaliano maalum, hii itaokoa muda wako na kuepusha utapeli.
Kama una kiwanja unauza,nyumba unapangisha,una vifaa unauza leta taarifa kwetu na jukumu letu ni kukutanisha na mteja sisi tutachukua commission baada ya biashara kukamilika.
Hii ni mwanzo tunaanda Business yard kwa ajili ya watu kuleta bidhaa zao kuuza na watu kuja kununua.
Wasiliana nasi kwa e-mail hii;tanzanialifeclub@gmail.com.
Napenda kuwafahamisha kuwa tumeanzisha huduma ya kupata vitu mbali mbali bila kuathiri shughuli zako na muda wako.
Huduma unazoweza kupata ni zifuatazo kwa sasa;kusajili biashara yako,kampuni,kupata ofisi eneo lolote unalohitaji Tanzania,kupanga nyumba,kununua nyumba,kununua kiwanja na kuuza na hata vitu mbali mbali,kupata birth certificate,kumtafutia chuo au shule inayostahili.
Baadhi ya huduma gharama zake ziko fixed hivyo utachotoa ni commission kwetu tu kwa makubaliano maalum, hii itaokoa muda wako na kuepusha utapeli.
Kama una kiwanja unauza,nyumba unapangisha,una vifaa unauza leta taarifa kwetu na jukumu letu ni kukutanisha na mteja sisi tutachukua commission baada ya biashara kukamilika.
Hii ni mwanzo tunaanda Business yard kwa ajili ya watu kuleta bidhaa zao kuuza na watu kuja kununua.
Wasiliana nasi kwa e-mail hii;tanzanialifeclub@gmail.com.