Hahahahaha dah naona wife ake hakumkagua wkt anaondoka home
jamani kila mtu anapitiwa sometimes,mie mwenyewe siku moja nilitinga jeans yangu mpya sasa sikuwa najua kumbe zipu ilikuwa ina matatizo,inashuka yenyewe taratibu ninavyotembea,sasa nikashangaa tu watu wanavyonikodolea macho,mie nikadhani nimependeza ndo mana wananitizama ndo hadi mama mmoja akaniambia binti umesahau kufunga duka,hapo mbwembwe zote zikaniisha.hivyo kunakupitiwa wanawane!
jamani kila mtu anapitiwa sometimes,mie mwenyewe siku moja nilitinga jeans yangu mpya sasa sikuwa najua kumbe zipu ilikuwa ina matatizo,inashuka yenyewe taratibu ninavyotembea,sasa nikashangaa tu watu wanavyonikodolea macho,mie nikadhani nimependeza ndo mana wananitizama ndo hadi mama mmoja akaniambia binti umesahau kufunga duka,hapo mbwembwe zote zikaniisha.hivyo kunakupitiwa wanawane!
ndani kulikuwa hakuna kitu nini? namaanisha chvpi
jamani kila mtu anapitiwa sometimes,mie mwenyewe siku moja nilitinga jeans yangu mpya sasa sikuwa najua kumbe zipu ilikuwa ina matatizo,inashuka yenyewe taratibu ninavyotembea,sasa nikashangaa tu watu wanavyonikodolea macho,mie nikadhani nimependeza ndo mana wananitizama ndo hadi mama mmoja akaniambia binti umesahau kufunga duka,hapo mbwembwe zote zikaniisha.hivyo kunakupitiwa wanawane!
Ni Kutokujali au ubize kupita kiasi?
jamani kila mtu anapitiwa sometimes,mie mwenyewe siku moja nilitinga jeans yangu mpya sasa sikuwa najua kumbe zipu ilikuwa ina matatizo,inashuka yenyewe taratibu ninavyotembea,sasa nikashangaa tu watu wanavyonikodolea macho,mie nikadhani nimependeza ndo mana wananitizama ndo hadi mama mmoja akaniambia binti umesahau kufunga duka,hapo mbwembwe zote zikaniisha.hivyo kunakupitiwa wanawane!
Mnashangaa nini ndugu zangu? Hamjasikia kituko cha kigogo mmoja anayeheshimika zaidi ya huyu. Alikwenda mbio amechelewa kuhutubia mkutano. Jasho likawa linamtoka akaingiza mkono mfukoni kutoa kitambaa, akatoka na chupi ya kike ya kike, na kuanza kujipangusa, watu wanacheka yeye anazidi kuendelea bila kujua. Kisha akaiweka mezani ndipo akagundua!