Jitizame kama umerogwa ukiwa nyumbani kwako

Habari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia
2. Usiku wa kuamkia alkhamisi wekq dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha

Asanteni sanna
Nimesahau cha ajabu nimemuona Mshana ananiloga
 
Nakubaliana na wewe ila mimi natumia uchawi kuzuia wanaodhuriwa na uchawi na natumia uchawi kuwarahisishia waliokua na magumu bila ya kumuasi mungu uchawi ni zawadi ndugu ha ha ha
KUWARAHISISHIA WALIOKUWA NA MAGUMU BILA KUMUASI MUNGU!!!
Kuna mungu unayemuamini wewe anayeendana sawa barabara kabisa na uchawi.
Na Kuna MUNGU aliyekataza shirki. Kuna Mambo mengine waislamu tunajitakia tuonekane wote ni watu wahovyo😠😠😠😠..
 
Habari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia
2. Usiku wa kuamkia alkhamisi wekq dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha

Asanteni sanna
Mkuu natafuta jini la kubashiri matokeo ya mpira kama unayo!
 
KUWARAHISISHIA WALIOKUWA NA MAGUMU BILA KUMUASI MUNGU!!!
Kuna mungu unayemuamini wewe anayeendana sawa barabara kabisa na uchawi.
Na Kuna MUNGU aliyekataza shirki. Kuna Mambo mengine waislamu tunajitakia tuonekane wote ni watu wahovyo..

Hivi wewe ni muumini gani usioelewa tofati ya uchawi na shirki sababu uchawi ni lazima uombe baraka za mungu pia
 
Habari wanajamii
Napenda kuchukua fursa hii kuwapa darasa huru jinsi ya kujiangalia mwemyewe kama umerogwa
1. Chukua mkaa usage sage uwe kama unga changanya na ubani wowote uusage vizuri kisha ufunge kwenye karatasi na uuweke kwenye mto wako unaolalia
2. Usiku wa kuamkia alkhamisi wekq dawa yako na uulalie utakutana na ndoto zako zote zinazohusiano na uchawi kama aliekuroga umerogwaje wapi vitajionesha

Asanteni sanna
Wewe Sasa ndio unataka kutuloga
 
Ndio maàna maeneo yenye waislam wengi hayaishi uchawi na ushikina

usichanganye uislam na uchawi ndugu yangu.
uchafi au ushirikina ni tabia tu za kishetani ambazo hazina uhusiano wowote na dini...

Uislamu kwenye kitabu kitakatifu cha Koran imeukataza sana ushirikina na unafiki, na ni vitu vinavyoweza kumpeleka mtu motoni haraka sana kwa mujibu wa Koran na Uislam..

Mbeya na Iringa kuna ukristo kwa asilimia kubwa lakini ndio kwenye uchawi kwa wingi sana, Kanda ya Ziwa pia wakristo ni wengi na uchawi ni mwingi pia vipi tuuhusishe ukristo na uchawi wa hao watu? HAPANA hata ukristo kwenye bible umekataza ushirikina na ni tabia tu za kibinadamu ndio zimewafikisha huko..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom