BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,117
- Thread starter
- #81
Labda nikutafutiePeugeot mgongo wa chura ntaipata,namba yoyote(A~Z)
Labda nikutafutiePeugeot mgongo wa chura ntaipata,namba yoyote(A~Z)
Mil 25 hadi mil 37 kutokana na ubora wa gariNipe bei nzuri canter 2t au 3t
Mimi ninayo Canter, engine D32, no. C, 25M hiko dam,Mil 25 hadi mil 37 kutokana na ubora wa gari
Milioni 5.5 cash ipo nduguGari inauzwa brevis ya muhindi inataka 7.5 ml check me pm View attachment 609816View attachment 609817View attachment 609818View attachment 609819
Njoo Na Saba uchukue chuma MkuuMilioni 5.5 cash ipo ndugu
Mimi cna labda BANGO JEUPE kama anayo atajitokeza hapaUna ist new model mkuu?
Me ninayo anaendesha mmama iko vizuri sanaaaa ila bei ni 25M if interest PM tafadhali mnunuzi asiwe pasua kichwaUna ist new model mkuu?
Mkuu white board, ukipata ist au spacio au allion au mfano wa hizo iliyo nzuri, kama inaangukia ndani ya bajeti yangu 5 mil ni pmOld mil 6 hadi mil 10
New mil 8 hadi mil 15 kutokana na ubora wa gari
Habari zenu wakuu,
Kwa uhitaji wa kununua gari used Tanzania, yaani gari za mikononi,
Wasiliana nami,
Leta oda yako kama sina nitakutafutia, kikubwa uwe na utayari na hela iwepo,
Ndani ya siku 1 unapata gari ulitakalo tayari kulikagua,
Pia kama unauza gari lolote nitakutafutia mnunuzi,
MAWASILIANO
Call/Sms
+255718295182
+255753254562
Instagram@bangojeupe
Watsap:+255683860978
Ninayo ya mil 40Land Cruiser usd,cl ENGINE 1 HZ Hard Top, BEI gani
Tunafika chiefmikoani vp