shamzugi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2021
- 493
- 996
Maelekezo kidogo mkuu nashindwa nianzie wapiKama mm nimefeli kusave
Maelekezo kidogo mkuu nashindwa nianzie wapiKama mm nimefeli kusave
Nadhani kusave ndio tatizo hata mm nimeli faceKama mm nimefeli kusave
Unatumia simu gani ?Nimefeli kufika mkuu
Ni kweli wala usiwe na wasiwasi ila Kuna simu zingine option inaishia hapo advancedmkuu, isije Ikawa umelenga jambo jingine? dunia imekosa uaminifu sana
I hope hii inafanya kazi effectively 80-90 parcee... Ile ya kwanza niliiweka, still adds zikawa Zina pop up...Hiyo domain kuna baadhi yatapenya naona kuna baadhi ya ads zinai bypass, kama yatapenya.. waweke hii ya chini
dns.adguard-dns.com
Maelekezo yana husu simu ya android.Kama mm nimefeli kusave
Nimejaribu Mara kadhaa kwenye setting sioni pa kuingilia, mwenye maelekezo/ufafanuzi wa ziada anisaidie. Ninatumia Samsung S6 mbona hakuna hayo maelezo uliyo eleza?
- Head to Settings > Network and Internet > Advanced > Private DNS.
- Choose the option Private DNS Provider Hostname.
- Enter "dns.adguard.com" and Save.
- That's it! You'll no longer see any in-app ad ads or pop-ups on browsers.
Mkuu miaka yote hiyo kule Jf doctor kule .. Bado unatumia kiswaswadu s6!! Hata SIIAMINI mzizimkavu nikujuae since 2011!?Nimejaribu Mara kadhaa kwenye setting sioni pa kuingilia, mwenye maelekezo/ufafanuzi wa ziada anisaidie. Ninatumia Samsung S6 mbona hakuna hayo maelezo uliyo eleza?
Ninatumia simu 2 hiyo Samsung S6 na IPhone mimi nipo simple sipo mtu wa kupenda mambo ya kifahari. Wachunguze Matajiri wakubwa duniani kama Bill Gate yupo kivipi?au Ali dangote au mo Dewji wakoje kimaisha? Masikini ndio huwa anapenda mambo ya kifahari Tajiri hapendi mambo ya kifahari.Mkuu miaka yote hiyo kule Jf doctor kule .. Bado unatumia kiswaswadu s6!! Hata SIIAMINI mzizimkavu nikujuae since 2011!?
Mkuu hakukuwa na haja ya kujielezea saana, ungemjibu ndio chaguo lako.Ninatumia simu 2 hiyo Samsung S6 na IPhone mimi nipo simple sipo mtu wa kupenda mambo ya kifahari. Wachunguze Matajiri wakubw aduniani kama Bill Gate yupo kivipi?au Ali dangote au mo Dewji wakoje kimaisha? Masikini ndio huwa anapenda mambo ya kifahari Tajiri hapendi mambo ya kifahari.
Kaji tetea Sana😂🤣🤣🤣, ile simu ya dangote ni 16m+Mkuu hakukuwa na haja ya kujielezea saana, ungemjibu ndio chaguo lako.
Kila mtu na maisha yake, wengine simu simu hizi si vipaumbele vyao, muhimu awepo hewani tu, apate na internet kwisha.
Umejitetea mnoo mkuu 😂🤣
Ila dangote alivyokuja bongo ile simu aliyokuwa anatumia unajua ni sh ngaoi mzee wangu!?
For androidNimefeli kufika mkuu
Mie sikuona haja ha kujitetea mnoo, simu ni yake maisha ni yake, akiwa tajiri au masikini hakuna anamchangia hela ya kula humu.Q tetea Sana😂🤣🤣🤣, ile simu ya dangote ni 16m+
dangote alionekana ana simu simple alipokuja bongo,kumbe inauzwa milion 18.Ninatumia simu 2 hiyo Samsung S6 na IPhone mimi nipo simple sipo mtu wa kupenda mambo ya kifahari. Wachunguze Matajiri wakubw aduniani kama Bill Gate yupo kivipi?au Ali dangote au mo Dewji wakoje kimaisha? Masikini ndio huwa anapenda mambo ya kifahari Tajiri hapendi mambo ya kifahari.
Hii ni clear nimewah kuitumia msiwe na shaka.mkuu, isije Ikawa umelenga jambo jingine? dunia imekosa uaminifu sana
Sasa hela zake anatafuta kwa ajili ya nini?Mie sikuona haja ha kujitetea mnoo, simu ni yake maisha ni yake, akiwa tajiri au masikini hakuna anamchangia hela ya kula humu.
Mtaani kuna mzee mmoja don kweli kweli, mpambe wake anakwambia huyo huwezi kumkuta hana milioni 5 anavyotembea.. Mie nyumba nizijuazo za kupangisha huyu mzee ni zaidi ya 30. Ila ukiomuona simple tu, na kama huna adabu akikukosea unaweza mpiga vibao, simu anayotumia ni kawaida saana. Gari zake sasa ni local kinooma, ana viRAV4 viwili kimoja cha milango miwili, kuna prado ya miaka ya 90+ huko, halafu ndio ana prado la miaka ya 2010 na kitu hivi, ila hii hatembelei saana, kwake kwenyewe ukienda ni kawaida nyumba yake ile ile ya toka miaka ya 90 huko.