wapendwa nawasalim sana na hongereni kwa kulipamba jukwaa kwa mapishi mbalimbali.
Msaada ninaoomba kwenu ni kwa yeyote anayejua kupamba cake kwa fondant. nimeeanzisha kamradi ka kutengeneza cake kwa shughulibalimbali ila natumia sana icing sugar. sasa napenda kitembelea kwenye mitandao kupata ujuzi zaidi sasa huko nakutana na kitu kinaitwa foundant ambapo naona inasukumwa kama chapati na kutengenezea ribbon.
naomba anayejua anijuze hiyo foundant inatengenezwa na material/vitu gani na inatengemezwa vipi.
nafikiri mwenye huo ujuzi atanijuza na ntafurahi sana
Msaada ninaoomba kwenu ni kwa yeyote anayejua kupamba cake kwa fondant. nimeeanzisha kamradi ka kutengeneza cake kwa shughulibalimbali ila natumia sana icing sugar. sasa napenda kitembelea kwenye mitandao kupata ujuzi zaidi sasa huko nakutana na kitu kinaitwa foundant ambapo naona inasukumwa kama chapati na kutengenezea ribbon.
naomba anayejua anijuze hiyo foundant inatengenezwa na material/vitu gani na inatengemezwa vipi.
nafikiri mwenye huo ujuzi atanijuza na ntafurahi sana