medisonmuta
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 2,324
- 1,287
sio vyote...
"Rakims"
Vinavyowezekana kama vipi?
Kwakawaida nikiota ndoto ilikuwa inatokea km ilivyo baada ya km sikumbili or inawezakaa atamiaka miwili ikapita but kinatokea kilakitu adi basi una uta nakumbukailendoto na huaga sisahau so naomba niulze nini ivi?
Rakims ni faida gani umeipata kwenye hii Lucid Dreams
Mkuu, ahsante kwa darasa zako hapa JF ingawa mara kadhaa nimekumbana na changamoto
nzitonzito baada ya kuanza kujaribu vitu kadhaa, mfano kushtuka ghafla na kuhisi kama kuna
vitu ambavyo si vya kawaida chumbani na kuufanya moyo uende kasi, kushtuka usingizini na kuona
kitu kama Mwanga ambao hupotea baada ya dakika kadhaa, Pia nilikuwa najaribu baadhi ya vitu usiku
wa kuamkia leo lakini nimeshtuka usingizini na kujikuta mwili mzima ukitikisika sijui niseme kutetemeka...
yaani kama ulikuwa unavibrate hivi.
Nafikiri bado sijaweza vizuri haya mambolakini nitajitahidi.
Kikubwa ambacho kinanikera ni hii hofu ya kuhisi kuna watu au vitu vya hatari, vya ajabu chumbani
kwangu.
Rakims
Hiyo Ni Negative Thought Na Dark Spirit Zinakuzungukia Kuanza Mazoezi Haya Humpelekea Mto Kusogea Hatua Moja Mbele Ya Ukweli Wa Maisha Yake Kabla Ya Kuanza Kuingia Ndani Zaidi Ya Meditation Jitahidi Kuwa Una Seal Aura Yako Ili Uwe Na Confidence Ulinzi Pamoja Na Uwezo Wa Kufanya Zoezi Lako Vema Ni Hapo Tu Ndio Pana Ugumu Upande Wako I Hope Kama Unania Na Uvumilivu Siku Moja Utatoboa Tu...
"Rakims"
huu sio uzi wake..
Lucid Is Is The Best Think To Learn If Sleep Restful Is A Problem To You...
kuna tapeli anaitwa Rakims huwa anafundisha watu uchawi huku JF sijui ndio huyu!? maana wanafanana kimtindo