mkuu kipindi nipo chuo nilishawah kuota nasoma notes zilikuwa kwenye slides,nilikuwa nina mpango wa kuamka kusoma ila nilijikuta nimechelewa kuamka but kila nilichosoma kwenye ndoto kilikuwepo kwenye slides,nilipoenda kwenye test nlikuwa nakumbuka mpaka page ambayo inajibu swali,je hiyo ni lucid dream mbona haijawah kunitokea tena?