Jinsi ya kunywa bia

First off, mwaga chini kiduchu kuhakiki kama ipo vizuri yaani haijaeksipaya.

Utaona povu.

Piga lesi ndefu ukiwa umebana pumzi, rudisha chupa mezani.

Sikilizia Dk 1 then rudia tena hadi ikate. Anza nyingine.

Ushauri wa bure:
Usibusu busu bia. Matumizi ya glasi ni kupoteza muda na kujieksipozi na majanga.

Mawaidha yanatosha, muda wa vitendo now!

Cheers!
Dokta hana hela ya bia
5341f4636f6357de2ce1954865fa004c.png
 
Back
Top Bottom