kijana mkimya
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 277
- 121
unafanya hivyo afu unamuaona baba'ko au mama'ko. mambo mengine si ya kujaribu
We utakuwa mchawi namba moja, biblia inasema usimwache mwanamke mchawi aishiUchawi haupo acheni upotoshaji.
Shida ni kwamba unadhani hata mimi naamini biblia au koran au vitabu vya dini, siviamni na siamini kama uchawi wala shetani na mungu kama wapo.We utakuwa mchawi namba moja, biblia inasema usimwache mwanamke mchawi aishi
Hahahaaaa.Nataman hayo maneno yako ungeyasema huku mtaan kwetu. Kesho tu ungejikuta umelala nje
hii ni mada nyingine kali zaid, anzisha thread asee,Shida ni kwamba unadhani hata mimi naamini biblia au koran au vitabu vya dini, siviamni na siamini kama uchawi wala shetani na mungu kama wapo.
.
twende pole pole una maana huna iman na kitu chochote?Hahahaaaa.
Nishawapa go abead wachawi kibao tu wa vijijini, mitaani waniroge sijawahi kuona nimerogeka, kuna kipindi niliwahi kuishi tabora, usiku nikiwa natoka milele nikamkuta mtu nyuma ya ukuta wa nyumba yangu, nikamchapa viboko nikamwambia akaniroge na wenzake sijawahi kuona.
Kuna mwingine tena hivyo hivyo nikamkuta usiku njia panda nikamzaba vibao alikimbia mbaya nikajua ataniroga wap.
Nimekaa bagamoyo nikawapa wachawi go ahaed waniroge wapi.
Kama unamjua mchawi mwambie aniroge namruhusu au kama wewe ni mchawi niroge tu kaka haina shida.
hapana, ila unapaswa kuwa na uangalizi wa ziadaHivi kweli jamani ukimuona mchawi na yeye akuone akuache bila kukudhuru hata baadae, au mleta post anatuambia nikimuona mchawi live huyo (mchawi) atafurahi?
hapana, ila unapaswa kuwa na uangalizi wa ziada
Wanajamvi.Wuuuuuuuuhhhhhhh
Ndio, hasa kinachoweza kubadili maisha ya mtu au kinachohusiana na mstakabali wa maisha ya mtu mfano uchawi, maombi nk.twende pole pole una maana huna iman na kitu chochote?
Kama ni mada private mngeianzishia whatsapp sio hapa, hapa kila mtu yuko huru kuchangia mada yoyote ile ili mradi isiwe matusi.hii ni mada nyingine kali zaid, anzisha thread asee,
deal doneAtakayefanikiwa kumuona atupie picha humu
Weka basi hiyo picha tumuone mchawideal done