snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,708
- 23,638
mi hainihusu pilau!hainihusu kabisa watajiujua mamake na babake huko huko walikokukatana wakatiana mimba mi sitaki huo upuuzi nyumbani kwangu,nasave kwa ajili ya wattoto wangu sio wa mwanamke mwingine!Swala ni kwamba akibaki huko hatafahamiana na wenzake na hatari yake wanaweza kufanya mahusiano ambayo yatagrarimu zaidi, kama kuoana au kufanyiana vitu vibaya pasipo kufahamiana, na pia ufahamu kwamba huyo ni binadamu na laziam aoe au kuolewa je utafurahi ukiambiwa kuwa mumeo ana kikao cha harusi ya mtoto wake wa nje na wewe humjui????? afadhali kama anaomba msamaha amtambulishe na aendelee kuishi huko huko japo atakuwa na malezi tofauti