Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,744
- 9,887
USIMUACHIE MKEO AMLEE MTOTO WA KIUME;
~Jukumu ni lako kumfanya awe ngangari
25 mfundishe mwanao.
1. Mwambie marufuku kutoa machozi ukianguka na kuumia
2. Mwambie wanaume tunaoga maji ya baridi na sio vinginevyo
3. Mwambie wanaume wanaoga usiku tu baada ya kazi
4. Mwambie wanaume wanakula vitu vigumu na sio laini
5. Mwambie ugali unashuka bila mboga
6. Mwambie wanaume tunamenya na kutafuta miwa kamili
7. Mwambie wanaume hatukai jikoni na kina mama kupika
8. Mwambie wanaume hatukai na dada zetu kuota moto
9. Mwambie wanaume hatuvai kanga za tukienda kuoga
10. Mwambie wanaume hatulalii tumbo tukiwa ugenini
11. Mwambie akatae majina ya kike hata akiitwa kwa masihara
12. Mwanao akija nyumbani analia mchape mpaka anyamaze
13. Mwanao asivae mlegezo, asikune nazi wala kuchagua mboga
14. Mpe hela mwanao na usimpangie matumizi
15. Mpasue akianza kuandika text kifupi na "xaxa, jomon, oy, aje"
16. Mwambie akongee kwa koromeo sio pua
17. Mzingue akiandika "my birthday.."
18. Kama haangalii ngumi, mieleka zaidi ya tamthiliya mfanye alie
19. Mwambie mwanaume hasusi wala kudhira
20. Mwambie mwanaume hafatilii maisha ya mwanaume mwingine
21. Mwambie mwanaume hacheki mpaka jino la mwisho
22. Mwambie mwanaume hatoi ulimi nje
23. Mwambie mwanaume hakati viuno feni yeye sio demu
24. Hata kama geti kali, mwambie mwanaume anashinda kazini
25. Mwambie mwanao asitafute kupendwa na kila mtu.
Mkuze mwanao kwa misingi hiyo tuongeze wanaume kwa maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
Ukipata nafasi ya kumwambia mwanao utamwambia nini?
~Jukumu ni lako kumfanya awe ngangari
25 mfundishe mwanao.
1. Mwambie marufuku kutoa machozi ukianguka na kuumia
2. Mwambie wanaume tunaoga maji ya baridi na sio vinginevyo
3. Mwambie wanaume wanaoga usiku tu baada ya kazi
4. Mwambie wanaume wanakula vitu vigumu na sio laini
5. Mwambie ugali unashuka bila mboga
6. Mwambie wanaume tunamenya na kutafuta miwa kamili
7. Mwambie wanaume hatukai jikoni na kina mama kupika
8. Mwambie wanaume hatukai na dada zetu kuota moto
9. Mwambie wanaume hatuvai kanga za tukienda kuoga
10. Mwambie wanaume hatulalii tumbo tukiwa ugenini
11. Mwambie akatae majina ya kike hata akiitwa kwa masihara
12. Mwanao akija nyumbani analia mchape mpaka anyamaze
13. Mwanao asivae mlegezo, asikune nazi wala kuchagua mboga
14. Mpe hela mwanao na usimpangie matumizi
15. Mpasue akianza kuandika text kifupi na "xaxa, jomon, oy, aje"
16. Mwambie akongee kwa koromeo sio pua
17. Mzingue akiandika "my birthday.."
18. Kama haangalii ngumi, mieleka zaidi ya tamthiliya mfanye alie
19. Mwambie mwanaume hasusi wala kudhira
20. Mwambie mwanaume hafatilii maisha ya mwanaume mwingine
21. Mwambie mwanaume hacheki mpaka jino la mwisho
22. Mwambie mwanaume hatoi ulimi nje
23. Mwambie mwanaume hakati viuno feni yeye sio demu
24. Hata kama geti kali, mwambie mwanaume anashinda kazini
25. Mwambie mwanao asitafute kupendwa na kila mtu.
Mkuze mwanao kwa misingi hiyo tuongeze wanaume kwa maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
Ukipata nafasi ya kumwambia mwanao utamwambia nini?