Jinsi ya kukata kiuno..

nashukuru sana jamani
nina assignment mahali mwezi wa tisa....
 
Sasa unatuambia saa hizi tutapractice vipi na morning glory session ishapita? Au nikate mauno wakati napiga deki na kulisha kuku?
wanasema kila kitu utapata kwa mchina,kope kama huna nzuri mchina unapata,kama huna bikra,mchina anakupatia...kucha..nywele...hips mata..k ila nyonga hakuna ni juhudi zako mwenyewe na mwanammke nyoga eeeh so mimi hili somo nimelipenda ...nitaachwa hadi lini kisa ugogo.bora nitoke
shukrani Kimbweka
 
Last edited by a moderator:
yaan hapa nafanya kazi raha mstarehe.. we kimbweta ww una mambo... haya wajuvi wa mambo karibuni hii ndio j3 ya bluu bana
 
JF patamu bana!! Unaweza cheka mwenyewe na simu watu wakakuona chizi..


Sent from my EyePhone

teh teh teh...kama mm,nkianzaga kucheka na cm w2 wengine around nao wanaangua vicheko bila kujua nacheka nn,jf c mchezo!
 
Kwa hivi VITAMBI ninavyovishuhudia kwa wadada na wakaka, naona hili zoezi litakuwa gumu haswa pale kwenye kubana tumbo!
 
Je wakifunga kanga au kitenge ,hakitakatika mtani?
NAULIZA TU!!!

Unaukumbuka huu wimbo, najua wakati unauimba wala hukuwa wafunga kitenge...mikono ilikuwa yawekwa kiunoni kwa madoido binti wa Mbamba Bay wazungusha yako nyonga. Halafu si nimekosea nimekutumia kule kwingine....

Bilinge baiyoyo, bilinge waaah! X 2
Kiuno changu chembamba,cha kuvalia mkanda.
bilinge waaah!
 
Lol hii babu kubwa lakini ndo elimu ya kijamii hivo ili kusolve matatzo ya ndoa-Vionjoooo

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Jinsiya Kukata Kiuno

1-Simama wima(ukiwa uchi mbele ya kioo ndio it'll work better), weka mikonoyako hapo tumboni alafu sukuma tumbo lako mbele (litunishe) baki hivyo kwa mudakisha lirudishe kwa ndani na ubaki tena hivyo kwa muda. Rudia kufanya hivyo maranyingi uwezavyo na kumbuka kubana pumzi huku mdomo ukiwa wazi (itasaidia kukazamisuli ya tumbo pia), kubadilisha mirindimo (polepole, haraka, chap-chap,kugandisha n.k) mpaka utakapo hisi tumbo lako linatetema/tikisika (yaanivibrating).

Msingi wa kukata kiuno

Kama nilivyosema awali, simama wima najishike kiunoni(kuhu na huku) kishapeleka sehemu ya kiuno ya kulia upande wa kulia, sehemu ya mbele ipeleke mbeleuwezavyo(nina maana ile pelvis tu sio tumbo na kila kitu) alafu baada ya hapopeleke sehemu yako ya kiuno ya kushoto-kushoto, kisha peleka sehemu yako yambele nyuma hali itakayofanya ------ yako yabinuke/jitokeze kwanyuma.....nyoosha magoti kisha rudi kulia (ulipoanzia).


Fuata hatua hizo kwa mara nyingine tena ambazo ni simama wima-kulia-mbele-kushoto-nyumakulia x 20 na kuendelea inategemea zaidi na bidii yako.


Baada ya kuzoea hatua hizo hapo ndio unapotakiwa ku-create movements namirindimo yako kivyako. Mfano lala chali, kifudifudi(lalia tumbo), ubavu,chutama, piga magoti n.k kisha nenda kulia-mbele-kushoto-nyuma-kulia mpakakiuno kizoee..... alafu usisahau ukiwa ndani ya "game" kukilazimishampaka kitakapo kubali/zoea.

Kidokezo: Zoezi zuri la kukata kino ni kulala kifudifudi(kulalia tumbo)kisha kukizunguusha (hapa usipokuwa mwangalifu unaweza ku-cum via kisimi kwavile unatua unakisugua kiaina sio mbaya ni njia moja wapo ya kujipunguziastress sio ).

Umesahau kutoa angalizo kwa wenye mishono haiwahusu...usije tuulia wake zetu....akakaza tumbo akiachia mshono fumuuu utumbo kuleee.... ebu waambie haraka sasa ivi.
 
Jinsiya Kukata Kiuno

1-Simama wima(ukiwa uchi mbele ya kioo ndio it'll work better), weka mikonoyako hapo tumboni alafu sukuma tumbo lako mbele (litunishe) baki hivyo kwa mudakisha lirudishe kwa ndani na ubaki tena hivyo kwa muda. Rudia kufanya hivyo maranyingi uwezavyo na kumbuka kubana pumzi huku mdomo ukiwa wazi (itasaidia kukazamisuli ya tumbo pia), kubadilisha mirindimo (polepole, haraka, chap-chap,kugandisha n.k) mpaka utakapo hisi tumbo lako linatetema/tikisika (yaanivibrating).

Msingi wa kukata kiuno

Kama nilivyosema awali, simama wima najishike kiunoni(kuhu na huku) kishapeleka sehemu ya kiuno ya kulia upande wa kulia, sehemu ya mbele ipeleke mbeleuwezavyo(nina maana ile pelvis tu sio tumbo na kila kitu) alafu baada ya hapopeleke sehemu yako ya kiuno ya kushoto-kushoto, kisha peleka sehemu yako yambele nyuma hali itakayofanya ------ yako yabinuke/jitokeze kwanyuma.....nyoosha magoti kisha rudi kulia (ulipoanzia).


Fuata hatua hizo kwa mara nyingine tena ambazo ni simama wima-kulia-mbele-kushoto-nyumakulia x 20 na kuendelea inategemea zaidi na bidii yako.


Baada ya kuzoea hatua hizo hapo ndio unapotakiwa ku-create movements namirindimo yako kivyako. Mfano lala chali, kifudifudi(lalia tumbo), ubavu,chutama, piga magoti n.k kisha nenda kulia-mbele-kushoto-nyuma-kulia mpakakiuno kizoee..... alafu usisahau ukiwa ndani ya "game" kukilazimishampaka kitakapo kubali/zoea.

Kidokezo: Zoezi zuri la kukata kino ni kulala kifudifudi(kulalia tumbo)kisha kukizunguusha (hapa usipokuwa mwangalifu unaweza ku-cum via kisimi kwavile unatua unakisugua kiaina sio mbaya ni njia moja wapo ya kujipunguziastress sio ).

Na zoezo hili lina faida gani kiafya?
 
Heheheheeee yaaani umenifanya nicheke maana nimegundua staff mmoja hapa job yuko jf maana ile nimeingia tu ofisini kwake nilimkuta mkaka anakata kiuno huku anasoma laptop yake. Niliporudi ofcn kwangu nimecheka zaidi looh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom