Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,412
- 119,161
Sasa watu wanamtukana mtoa mada kawakosea nini? Hii ni nchi huru kila mtu anafanya anachoona kinampendeza. Ifike mahali watu tuache huu ushamba wa kupangiana maisha.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app