Jinsi ya kufanikiwa na elimu niliyo nayo

Stany

JF-Expert Member
Apr 10, 2011
277
42
Salamu ndugu zangu, nina imani na kuthamini michango yenu wadau ila please comment positively. Mimi ni muhitimu wa uhasibu katika chuo kimojawapo hapa Tanzania na GPA yangu ni 3.8. Pia nilihitimu CPA mwaka jana na sasa yapata mwaka sina kazi wadau. Katika eneo ninalokaa nimejaribu auditing firm ila majibu hawajanipa ni miezi minne sasa. Nahihitaji ushauri wa kufikia ndoto zangu si utaratibu za kufungua auditing firm au namna nyingine ya kunisaidia.

Please I look foward your posittive and constructive ideas.
 
ndugu nimeomba had nahisi nachoka.hat bot waliniita ila hadi xaxa hewa
 
Ndg yangu kuwa na subra one day utakuja furah mwenyewe.
Ukikata tamaa ndo mwanzo wa kujichimbia kabur lako mwenyewe

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
ndugu nimeomba had nahisi nachoka.hat bot waliniita ila hadi xaxa hewa

Usikate tamaa bro, we endelea ku apply tu, na km ni fresher usichague kazi, yan yoyote unayoweza kufanya we apply ukiitwa kapge mzigo upate experience
 
Tupia cv tu kiongozi utapata mm mwenyewe kuna washikaji wang mpaka ss wapo mtaani hawajapata kazi.
 
Salamu ndugu zangu, nina imani na kuthamini michango yenu wadau ila please comment positively. Mimi ni muhitimu wa uhasibu katika chuo kimojawapo hapa Tanzania na GPA yangu ni 3.8. Pia nilihitimu CPA mwaka jana na sasa yapata mwaka sina kazi wadau. Katika eneo ninalokaa nimejaribu auditing firm ila majibu hawajanipa ni miezi minne sasa. Nilihitaji muongozo wa kufungua auditing firm au namna nyingine ya kunisaidia.

Please I look foward your posittive and constructive ideas.
kwanza pole mkuu Stany,then hongera kwa CPA
napata mashaka na ombi lako la kuhitaji muongozo wa kufungua audit firm!! nakushauri rudi tena nbaa usome mahitaji muhimu unayopaswa kujua as CPA graduate maaana ombi lako halijakaa kitaaluma.Huwezi kupewa kibali ka kufungua kampuni ya ukaguzi kabla hujapractices three years kwenye audit firm chini wa member ambaye ni CPA PP ambeye atakudhamini kama muangalizi wako .
nakushauri tafuta local firm yeyote uweunavolunteer for three years then uanze mchkato wa kumiliki firm yako mwenyewe.
alternative jaribu kutumia knowledge yako uwe unafanya accounts books preparation kwa SMEs ambao hawana wahasibu na wanahitaji kupeleka vitabu vyao TRA kwa ajili ya ukaguzi au kwa matumizi ya ndani.Pia unaweza kuwa business consultancy
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na kututahadharisha namna ya ku comment,(please comment positively),nashindwa kuelewa ni kwa vipi mtu mwenye 3.8 GPA na CPA kuhitaji muongozo wa kufungua auditing firm. Sasa kama hulijui hilo unajua nini katika taaluma yako? Kwa hiyo mimi niliyesomea Crop Production ndio nikupe mwongozo? Duh, shule za kata zinaandama watu hata baada ya kuwa na CPA na GPA ya 3.8



Salamu ndugu zangu, nina imani na kuthamini michango yenu wadau ila please comment positively. Mimi ni muhitimu wa uhasibu katika chuo kimojawapo hapa Tanzania na GPA yangu ni 3.8. Pia nilihitimu CPA mwaka jana na sasa yapata mwaka sina kazi wadau. Katika eneo ninalokaa nimejaribu auditing firm ila majibu hawajanipa ni miezi minne sasa. Nilihitaji muongozo wa kufungua auditing firm au namna nyingine ya kunisaidia.

Please I look foward your posittive and constructive ideas.
 
Hongera stany kwa kuwa bright na kufaulu masomo yako vizuri hope pia kwa wakati hasa cpa maana wengine wamezeeka wanatamani wapate hata cheo cha ca au cia but walikomeshwa kwa kushindwa kupata cpa, hata walopachikwa vyeo hivyo bila cpa hawana amani na position wanazoshikilia hadi sasa.

Utaratibu wa kufungua audit firm ni huu:

1:haikisha umefanya kazi ya ukaguzi kwa muda usiopungua miaka 3 kwenye audit firm tena siyo internal audit

2: HAKIKISHA UKO REGISTERED UNDER CPA-PP CATEGORY NA KAMA NI PARTNERSHIP MWENZIO NAE LAZIMA AWE CPA PP

3: OMBA KIBALI NBAA NA UTAPEWA FORM ZA KUJAZA NA KUSUBMIT HUKO
4: KUMBUKA KWENDA TRA KWA AJILI YA TIN, NA BRELA KUSAJILI JINA LA COY
5: KOTE UTAPEWA CERTIFICATE KM UTA MEET REGISTRATION CONDITIONS
6: MWISHO HATA BOT WAKATI MWINGINE UNATAKWA KUPATA LESENI

NAKTAKIA KILA LA HERI LKN KWA SS TAFUTA AUDIT FIRM NA MENTOR APATE NBAA REGISTRATION KWANZA NAAMINI KAMA NI GRADUATE ACCOUNTANT CATEGORY FIKIRIA USAJILI WA COY YAKO KUANZIA 2017 NA ZAIDI
 
Hongera stany kwa kuwa bright na kufaulu masomo yako vizuri hope pia kwa wakati hasa cpa maana wengine wamezeeka wanatamani wapate hata cheo cha ca au cia but walikomeshwa kwa kushindwa kupata cpa, hata walopachikwa vyeo hivyo bila cpa hawana amani na position wanazoshikilia hadi sasa.

Utaratibu wa kufungua audit firm ni huu:

1:haikisha umefanya kazi ya ukaguzi kwa muda usiopungua miaka 3 kwenye audit firm tena siyo internal audit
 
mckenzie inawezekana Stany alikuwa anakariri ili afaulu mitihani, matokeo yake ndio haya ...
Pamoja na kututahadharisha namna ya ku comment,(please comment positively),nashindwa kuelewa ni kwa vipi mtu mwenye 3.8 GPA na CPA kuhitaji muongozo wa kufungua auditing firm. Sasa kama hulijui hilo unajua nini katika taaluma yako? Kwa hiyo mimi niliyesomea Crop Production ndio nikupe mwongozo? Duh, shule za kata zinaandama watu hata baada ya kuwa na CPA na GPA ya 3.8
 
Last edited by a moderator:
mckenzie inawezekana Stany alikuwa anakariri ili afaulu mitihani, matokeo yake ndio haya ...

naomba niombe radhi kwa usumbufu lengo langu lilikuwa kupata muongozo wa kuweza kufikia ndoto zangu hizo na sio utaratibu kama ilivo kuwa awali,.
sorry kwa inconvinience.
 
mckenzie inawezekana Stany alikuwa anakariri ili afaulu mitihani, matokeo yake ndio haya ...

naomba niombe radhi kwa usumbufu lengo langu lilikuwa kupata muongozo wa kuweza kufikia ndoto zangu hizo na sio utaratibu kama ilivo kuwa awali,.
sorry kwa inconvinience.
 
Hongera kwa kupata 3.8 GPA na kuhitimu CPA,mimi sio mwanataaluma hiyo bt I cn't blve unashindwa kujipa muongozo
 
Stany Sawa kuomba radhi, lakini mbona sijakuelewa?
naomba niombe radhi kwa usumbufu lengo langu lilikuwa kupata muongozo wa kuweza kufikia ndoto zangu hizo na sio utaratibu kama ilivo kuwa awali,.
sorry kwa inconvinience.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom