Jinsi ya kufahamu ist with 4WD na isiyo na 4WD .

M2flan

JF-Expert Member
Jun 27, 2013
418
166
Habari wakuu, nahitaji kununua hii gari Toyota(ist)nafahamu kuna za cc1200 na cc1400, lakin nimeambiwa niwe makini hiz za cc1400 nyingi ni zina option ya 4WD na baadhi hazina, so naomba msaada nitumie vigezo vipi kufahamu yenye 4WD na isiyo na 4WD maana nahitaji ya cc1400 isiyo na 4WD .
 
Habari wakuu, nahitaji kununua hii gari Toyota(ist)nafahamu kuna za cc1200 na cc1400, lakin nimeambiwa niwe makini hiz za cc1400 nyingi ni zina option ya 4WD na baadhi hazina, so naomba msaada nitumie vigezo vipi kufahamu yenye 4WD na isiyo na 4WD maana nahitaji ya cc1400 isiyo na 4WD .
gari unaagiza japan ? au unanuna kwa mtu ?

Kama ni Japan website zina details zote za gari husika na pia IST yenye 4wd inakua na sticker nyuma na ukiangalia chini utaona ina diff pia exchaust yake iko tofauti na ist za kawaida sababu inaiipisha diff ikae vizuri
 
gari unaagiza japan ? au unanuna kwa mtu ?

Kama ni Japan website zina details zote za gari husika na pia IST yenye 4wd inakua na sticker nyuma na ukiangalia chini utaona ina diff pia exchaust yake iko tofauti na ist za kawaida sababu inaiipisha diff ikae vizuri

Stika ipi ?
 
4WD kwny ka IST ni ujinga tu,hakuna kitu katafanya.
Wewe ndio mjinga unayeishi kwa assumptions. Ulishawahi kuwa nayo?

Mdau unayetaka kununua IST, mimi nakushauri nunua yenye 4WD kama unaishi maeneo yenye miinuko yenye utelezi au mchanga. Mimi nina site yangu Kibaha Misugusugu, nina Hilux Single Cabin inashindwa kupita kufika kwenye kiwanja lakini IST ndio naitegemea sababu ya mchanga
 
Tofauti yake kubwa nikuwa IST ambayo ina 4WD lile bomba lake la kutolea Moshi (Lakupumulia) huwa lipo upande wa Kushoto na IST ambayo haina 4WD bomba lake la kutolea moshi (Lakupumulia) huwepo upande wa kulia.
 
Wewe ndio mjinga unayeishi kwa assumptions. Ulishawahi kuwa nayo?

Mdau unayetaka kununua IST, mimi nakushauri nunua yenye 4WD kama unaishi maeneo yenye miinuko yenye utelezi au mchanga. Mimi nina site yangu Kibaha Misugusugu, nina Hilux Single Cabin inashindwa kupita kufika kwenye kiwanja lakini IST ndio naitegemea sababu ya mchanga

Sawa taahira mwenye Hilux ambayo 4wd yake inashindwa kupita lkn IST 4WD inapita.
 
Back
Top Bottom