Asante kwa somo lako zuri, mimi pia nilipata kujifunza humu humu Jamii forum kuhusu blog katika thread zilizopita nashukuru hapa nilipofikia japo si sana lakini sijapata mtu wa kunirekebisha au kunikosoa wapi nilipokosea naomba ukippata mda mkuu upitie Chumbani Lounge
Asante kwa somo lako zuri, mimi pia nilipata kujifunza humu humu Jamii forum kuhusu blog katika thread zilizopita nashukuru hapa nilipofikia japo si sana lakini sijapata mtu wa kunirekebisha au kunikosoa wapi nilipokosea naomba ukippata mda mkuu upitie Chumbani Lounge
Wakuu, baadaye usiku leo tutaendelea na sehemu ya tatu ...
Wakuu, baadaye usiku leo tutaendelea na sehemu ya tatu ...
Anayehitaji Adsense tuwasiliane PM
Acha uchoyo.. Kwanini usipost hapa?? Hyo ktu mtu akigugo anapata kla kitu for free.. Pm?? Wat for??
Mkuu tuendelee
Basi jaribu ku google njia rahisi ya kupata adsense uone kama utapata
Wanadai baadaye zinakuwa disabled na google wenyewe. nime-google, hiyo kitu inawalakini, labda tupate ushahidi wa watu hapa walionunua adsense ac na wamedumu nazo muda wote.
Hongera sana mkuu nikijua namna za kujiunga na adsense ntafurahi sana..
Hongera sana mkuu nikijua namna za kujiunga na adsense ntafurahi sana..