Mkaa Mweupe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 654
- 183
Leo katika viwanja vya mnazi mmoja kuna tamasha la siku ya figo duniani linaendelea na kwa sasa lipo live kwenye TBC1.
Jambo la kushangaza ni pale baadhi ya wasanii kama Tito kukataa kuvaa t-shirt yenye ujumbe wa tamasha husika akidhani nguo zake za kisharobaro ndio za kupandia jukwaani.
Jamani tujaribu kuwaelimisha watu wanaposhiriki tamasha sio onyesho la binafsi kuonyesha mavazi. Lengo ni kufikisha ujumbe kwa wanaokutazama.
Nawasilisha.
Jambo la kushangaza ni pale baadhi ya wasanii kama Tito kukataa kuvaa t-shirt yenye ujumbe wa tamasha husika akidhani nguo zake za kisharobaro ndio za kupandia jukwaani.
Jamani tujaribu kuwaelimisha watu wanaposhiriki tamasha sio onyesho la binafsi kuonyesha mavazi. Lengo ni kufikisha ujumbe kwa wanaokutazama.
Nawasilisha.