Imbombo nywamu malafyalekwetu mbeya wanakwambia IMBOMBO NGAFU
Halafu kuna huyu jamaa mwingine
James Burchard Rugemalira is from Kagera in the North West of Tanzania. He obtained his first degree at the University of Dar es Salaam as a mature student. After an undistinguished career at the Bank of Tanzania, Rugemalira takes early retirement and enters the private sector. He is taken on board by VIPEM because of his contacts in BOT and the government. As an up-and-coming indigenous businessman, he is a prominent member of various business associations and official advisory committees, and sometimes travels with presidential delegations as a private sector representative.
connect dots
J.B.R. ni mwekezaji wa kitanzania, hatari sana. Ndie alieileta TRITEL na IPTL na ndie aliekuwa partner wao hapa TZ. Pamoja na kuwa partner, hakuwa na pesa zozote za ku-invest. Alipewa shares kutokana na % za uwekezaji wa nje unaohitajika nchini. Baada ya kutakiwa kuendelea ku-invest na kushindwa, alizipeleka zote mahakamani na kudai pesa nyingi. Alisababisha TRITEL kutoroka baada ya kuona kuwa wanashindwa kesi na kupoteza kila kitu.
Mkuu invisible, asante kwa info, ila hiki kichwa cha habari ungeweka kwamba ''jinsi tunavoendelea kuliwa kupitia BOT'', unajua mtu akisoma haraka haraka, anaweza dhani BOT inaliwa kivyao vyao kama vile haimuhusu, lakini kumbe BOT ni yetu na si ndo tunaliwa haswa! (ni mtazamo wangu tu mkuu.)
Ukweli uko wazi ila wahusika wameziba masikio,ngoja 2010 ifike nitakula pesa yao na siwapi kura mafisadi.
Order ya Mahakama imetoka jana IPTL iwe wound up, RITA wanatakiwa kupata agent wa ku-liquidate IPTL haraka sana.
This means, assets za IPTL zitagawanywa kwa lenders na tunaweza kubaki na mtambo kama mali yetu (taifa).
Kuna taarifa kuwa Mechmar ambao ni wabia kwenye project hii wanataka ku-block, uharaka wa RITA utatusaidia katika hili.
Kuna kama 207bil Central Bank ktk escrow account, sehemu yake inaweza kutumika kuugeuza mtambo wa IPTL kuwa wa gesi.
Kibanga, swali lako gumu (over RITA) lkn tuna mtu amefuatilia na nimemwomba afuatilie sababu ya kubadilishwa kwa msimamizi